Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KutongozaView attachment 3034336Nini kilichobaki ambacho hawakiwezi?
Sema kweli..Kutongoza
Hii ni kali, ila Mungu ndie aliyetaka wachuchumae.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona wanaweza sana? Pitia mbezi mwisho baa inaitwa Lubumbashi unatongozwa liveKutongoza
Sasa wao hawatakii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii ni kali, ila Mungu ndie aliyetaka wachuchumae.
Sasa unyevu unaobakia si utasababisha uvundo? Au unalitumia mara moja na kulitupa?Hii ni kali, ila Mungu ndie aliyetaka wachuchumae.
Sii wote tupo DarMbona wanaweza sana? Pitia mbezi mwisho baa inaitwa Lubumbashi unatongozwa live
Nadhani kinakuwa ndani maana mpaka ukivae si tabu! Kitakuwa kimefungwa na gundi na kuganda mwili vinginevyo utavuja mapajanimmh kazi ipo, kwahiyo hicho kifaa anatembea nacho kwenye pochi?
😄Ndio nishasemaSema kweli..
Kazi ipoNadhani kinakuwa ndani maana mpaka ukivae si tabu! Kitakuwa kimefungwa na gundi na kuganda mwili vinginevyo utavuja mapajani
Njooo Dar! Wanaume wa Dar hatusumbukii tena kutongoza!Sii wote tupo Dar
Sawa mtaalamuNjooo Dar! Wanaume wa Dar hatusumbukii tena kutongoza!
Kuambukiza mtu mimbaView attachment 3034336Nini kilichobaki ambacho hawakiwezi?
arusha pia kuna kamtaa kanaitwa makao mapya au mji mpyaMbona wanaweza sana? Pitia mbezi mwisho baa inaitwa Lubumbashi unatongozwa live
Mkuu rudisha ile picha ilikuwa tamu hii hapana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We sema hujawahi kubahatika kutongozwa😄Ndio nishasema