Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
😄NiacheWe sema hujawahi kubahatika kutongozwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😄NiacheWe sema hujawahi kubahatika kutongozwa
Ipo siku nitakutongoza we subiri😄Niache
Na nitaingia line nikukuneIpo siku nitakutongoza we subiri
Unatakiwa ukatae katae sio unakubali hapo hapoNa nitaingia line nikukune
NilivyokupaniaUnatakiwa ukatae katae sio unakubali hapo hapo
Khaa jamani...kunipania tena?😅😅Nilivyokupania
Haswaaa, vile una ukunguruKhaa jamani...kunipania tena?😅😅
Una maanisha nina tabia za kunguru sifugiki?Haswaaa, vile una ukunguru
WogaUna maanisha nina tabia za kunguru sifugiki?
Ha haaa uoga wangu ni upi eti?Woga
Njoo nikuambieHa haaa uoga wangu ni upi eti?
Weka mambo hadharaniNjoo nikuambie
Zaidi ya yaleWeka mambo hadharani
Kumbe wewe ndo muoga eeeZaidi ya yale
HuendaKumbe wewe ndo muoga eee