Wanawake bwaanah! Njia mpya ya kupiii wakiwa wamesimama!

Na ndio imepita
Mie mpaka sasa natongozwa mkuu.
Kaka dunia ya sasa ya mwendo kasi aisee.
Wanawake wa hii millenial generation achana nao.
Nakumbuka mwezi wa 5 mimi nimetongozwa mwanamke akitaka nimuoe mke wa piliπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Yani kizazi hiki ukizubaa wanakuchangamkia kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…