Msukumakizazi
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 2,596
- 2,079
severe days!!! si hadi atamaliza chuo sasa?Kwa mfano kuna mwanachuo mmoja amejifafanua kua hayuko poa kiuchumi hivyo nimuwezeshe angalau breakfast for severe days. Cha ajabu nasikia eti anasema mm ni mlugaluga najipendekeza kwake.
Ha ha ha haa .. we acha tuusevere days!!! si hadi atamaliza chuo sasa?
Kashindwa kutofautisha mwanamke na msichana huyo anaeambiwa boyathen anakuita boya ? au umeamua kuunga tela tu
Ushauri mzuri sana aiseeh1. Kumbuka ni mama zetu + Dada zetu pia.
2. Chagua moja kati ya majina hayo utakalolitumikia.
3. Ukishindwa hayo yote, kachukue wanaojiuza ili uyaepuke hayo majina.
4. Suruhisho la mwisho kwako ni kuoa tu. Ili uwe na mke wako.
Omba tu usiangukie pabaya
5.Yote ukiona hayafai, achana na wanawake kabisa.
Ova
we umewahi msaidia mwanamke akakuita boya?
Ushauri mzuri sana aiseeh
Nakumiss pia kichwa
hahha hzivi mapose haya kumbe bado yaopogoo
sasa hapo nimekuelewa !huez saidia na mtu ukamwita boya hata akukosee kinamna gan !mekumiss fundi mkuuKashindwa kutofautisha mwanamke na msichana huyo anaeambiwa boya
hahha hzivi mapose haya kumbe bado yaopogoo
Nikikumbuka pozi lako la harusi, huwa nakutamani sana.
Ahahahaaaaaa sijakutenga banah tunapishana tuu.Kwanini umenitenga lakini?
Huu mzigo uliumaliza?
AhahahaaaaaaNikikumbuka pozi lako la harusi, huwa nakutamani sana.
Ahahahaaaaaa sijakutenga banah tunapishana tuu.
Niumalize wapi, vilinishinda nikaamua kwenda kulamba ugoro tuu, mja asili haachi asili yake. Mie vyangu vikaratasi wanikatie huko huko counter hapo mezani wailete ikiwa kwenye glass [emoji485], sasa hizo za kidhungu na mimi wapi na wapi? [emoji4] [emoji4]
Nawamiss mno nyie mafundi wangu wawili, nadhani niliwapania mno! nimeamini mkamia maji hanywi[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] ipo siku ..........sasa hapo nimekuelewa !huez saidia na mtu ukamwita boya hata akukosee kinamna gan !mekumiss fundi mkuu
hahhaa haya banafundiNawamiss mno nyie mafundi wangu wawili, nadhani niliwapania mno! nimeamini mkamia maji hanywi[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] ipo siku ..........
hahahahah weee ushindwe !album yang ya harusi hutamani kuacha kuiangalia !pose sio za kisukuma !hahahaha