Wanawake bwana ni shida kweli

Wanawake bwana ni shida kweli

Kwa mfano kuna mwanachuo mmoja amejifafanua kua hayuko poa kiuchumi hivyo nimuwezeshe angalau breakfast for severe days. Cha ajabu nasikia eti anasema mm ni mlugaluga najipendekeza kwake.
severe days!!! si hadi atamaliza chuo sasa?
 
1. Kumbuka ni mama zetu + Dada zetu pia.

2. Chagua moja kati ya majina hayo utakalolitumikia.

3. Ukishindwa hayo yote, kachukue wanaojiuza ili uyaepuke hayo majina.

4. Suruhisho la mwisho kwako ni kuoa tu. Ili uwe na mke wako.
Omba tu usiangukie pabaya

5.Yote ukiona hayafai, achana na wanawake kabisa.

Ova
Ushauri mzuri sana aiseeh
 
we umewahi msaidia mwanamke akakuita boya?

Nakuona na pozi lako la mwaka mpya...

upload_2018-1-17_16-37-8.jpeg
 
na siku hz tunaitwa majina mengi mara kibamia, mara kilemutuz, kaz ipo.
 
Kwanini umenitenga lakini?
Huu mzigo uliumaliza?
IMG_2498.jpg
Ahahahaaaaaa sijakutenga banah tunapishana tuu.


Niumalize wapi, vilinishinda nikaamua kwenda kulamba ugoro tuu, mja asili haachi asili yake. Mie vyangu vikaratasi wanikatie huko huko counter hapo mezani wailete ikiwa kwenye glass [emoji485], sasa hizo za kidhungu na mimi wapi na wapi? [emoji4] [emoji4]
 
Ahahahaaaaaa sijakutenga banah tunapishana tuu.


Niumalize wapi, vilinishinda nikaamua kwenda kulamba ugoro tuu, mja asili haachi asili yake. Mie vyangu vikaratasi wanikatie huko huko counter hapo mezani wailete ikiwa kwenye glass [emoji485], sasa hizo za kidhungu na mimi wapi na wapi? [emoji4] [emoji4]

Basi naona imependeza zaidi...
images


Mimi bado niponipo kwanza
images
 
sasa hapo nimekuelewa !huez saidia na mtu ukamwita boya hata akukosee kinamna gan !mekumiss fundi mkuu
Nawamiss mno nyie mafundi wangu wawili, nadhani niliwapania mno! nimeamini mkamia maji hanywi[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] ipo siku ..........
 
Back
Top Bottom