Wanawake chukueni hii

Wanawake chukueni hii

Raymanu KE

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2022
Posts
8,611
Reaction score
16,118
Sehemu pekee ambayo unaweza ukamtembelea mwanaume wako na ukatoka salama bila kuguswa popote Ni hospitalini akiwa mgonjwa.

Tofauti na hapo, aisee hutotoka mzima mzima😂

Uzi tayari.
 
Haha mwanamke kuenda kwa mwanaume halafu asimpe, ni sawa na mzazi kumpitisha mtoto kwenye sehemu ya michezo halafu asimpeleke akacheze, huo ugomvi wake si wa nchi hii
 
Kama ni private ward waweza lamba lolipop kama ugonjwa sio serious voo
 
Hospitali kwenyewe inategemea nimelazwa wodi gani na ninaumwa ugonjwa upi.

Sasa kama nimelazwa VIP halafu ugonjwa wenyewe eti nimevunjika kidole, sijui bega, nakuachaje kwa mfano, nakupa hata maikk uchane mistari, ushushe freestyle ya blowjob.

Halafu kuna vihoma vingine vinahitaji kuchangamsha mwili aidha mazoezi ama kugegeda huwa vinapotea.
 
Hospitali kwenyewe inategemea nimelazwa wodi gani na ninaumwa ugonjwa upi.

Sasa kama nimelazwa VIP halafu ugonjwa wenyewe eti nimevunjika kidole, sijui bega, nakuachaje kwa mfano, nakupa hata maikk uchane mistari, ushushe freestyle ya blowjob.

Halafu kuna vihoma vingine vinahitaji kuchangamsha mwili aidha mazoezi ama kugegeda huwa vinapotea.
makaveli10 kama makaveli10

Kitengo chako hiki 😂
 
😂😂 why can't you spare my ribs @Makave
Hospitali kwenyewe inategemea nimelazwa wodi gani na ninaumwa ugonjwa upi.

Sasa kama nimelazwa VIP halafu ugonjwa wenyewe eti nimevunjika kidole, sijui bega, nakuachaje kwa mfano, nakupa hata maikk uchane mistari, ushushe freestyle ya blowjob.

Halafu kuna vihoma vingine vinahitaji kuchangamsha mwili aidha mazoezi ama kugegeda huwa vinapotea.
li10
 
Leo ndio umetuletea report kamili baada ya research yako ya muda mrefu, Ila huko Mahospitali naomba urudie tena Umewauliza Manesi au?
 
Back
Top Bottom