Wanawake darasa la saba washamba/ vihiyo wa mapenzi?

Wanawake darasa la saba washamba/ vihiyo wa mapenzi?

Theory yako sidhani kama inatoa association yoyote ya hayo mambo mawili. Kwanza hiyo ni observation yako wewe ambayo inaweza kuwa imechangiwa zaidi na fikra na uwezo wako wa kufikiri. Kama wewe ni braza men umekutana na binti hajasoma halafu unamletea mambo yako ya kitozi lazima utamuona mshamba. Kwa taarifa yako tunao wake zetu hawajasoma na wako safi mno kuliko hao waliosoma. Ndoa nyingi za wasomi zimevunjika kuliko za hao darasa la saba, hapo unasemaje? ushauri wangu kwako ni kuwa mtizamo wako sio lazima uapply kwa watu wengine, pole
 
Nakubaliana na wote waliokupinga kwa kukuelimisha, ila naomba niongezee kidogo tu,
ACHA DHARAU KWA WATU WOTE ULIOWAZIDI ELIMU/ AU HICHO KIPATO CHAKO AU KWA NAMNA YOYOTE ILE.
ACHA KUJIKWEZA,
ELIMU ULIYONAYO ITUMIE KUWAELIMISHA WASIOELIMIKA NA SIYO KUWADHARAU,
MAKOSA KTK MAPENZI HUFANYWA NA MTU YOYOTE HAIJALISHI AMESOMA AU HAJASOMA.

TATIZO KUBWA ULILONALO NI DHARAU KWA WASIOSOMA, ACHA KABISA NDUGU,
WEWE KAMA UMEPATA FURSA YA KUSOMA NA UMEITUMIA VIZURI BASI MWAMBIE MUNGU ASANTE, NA JITAHIDI KUONESHA UMUHIMU NA UTHAMANI WA ELIMU YAKO KWA KUELIMISHA NA SIYO KUTOA DHARAU, HAITAKUSAIDIA SANA BALI ITAKUSHUSHIA HADHI MBELE YA JAMII YAKO.
 
look @ that! hiv we kuandika hii mada ndo umeona usomi?am sorry! if you dont have time to waste with chicks za darasa la sabau should not have a time to talk about them...otherwise u like them.mapenzi kizunguzungu mzeee!
 
Jamani Presida amejieleza vizuri nikamuelewa, yeye ana tatizo na expression capacity anapokuwa nayo mpenzi wake aliyeishia darasa la saba jambo ambalo mimi naona ni obvious kwani kiwango chake cha kujieleza kitakuwa chini kutokana na kiwango cha elimu pamoja na exposurealiyoipata kiakili lakini kumbuka Mungu ni mwema huyo wa darasa la saba pamoja na upungufu huo lazima atakuwa na qualities ambazo utazi-miss kwa huyo mwenye elimu unayoikubali.
 
not true, lover hawatakiwi kupishana education level sana, matatizo yake ndo mtaonana hamjui mapenz.
Mapenzi sio kitanda 2, hata kuchangia mawazo. Xaxa gred 7 na digrii there z nthng 2 share
 
Naona wanaume tumecharuka...tumechoka kuonea...yafaa sasa wanaume tusiofungamana na upande wowote (onevu) tuunde Chama chetu cha kutetea haki za mama/dada zetu wanaoshambuliwa na malimbukeni wa elimu kila kukicha! Na kwa kua nilitoa mwongozo na Mwanalumango akaufuata kwa kuomba msamaha wenye degree badala ya mjumbe aliyekiuka maadili ya Chama nichukue fursa hii kumteua bwana Mwanalumango kua Katibu wa muda wa kamati ya maadili kwenye sekretariati ya Chama Chetu! Wajumbe wengine mtaingia kwa utaratibu tutakaoutangaza baadae!

Twaibu
 
Nakubaliana na wote waliokupinga kwa kukuelimisha, ila naomba niongezee kidogo tu,
ACHA DHARAU KWA WATU WOTE ULIOWAZIDI ELIMU/ AU HICHO KIPATO CHAKO AU KWA NAMNA YOYOTE ILE.



ACHA KUJIKWEZA,
ELIMU ULIYONAYO ITUMIE KUWAELIMISHA WASIOELIMIKA NA SIYO KUWADHARAU,
MAKOSA KTK MAPENZI HUFANYWA NA MTU YOYOTE HAIJALISHI AMESOMA AU HAJASOMA
TATIZO KUBWA ULILONALO NI DHARAU KWA WASIOSOMA, ACHA KABISA NDUGU,
WEWE KAMA UMEPATA FURSA YA KUSOMA NA UMEITUMIA VIZURI BASI MWAMBIE MUNGU ASANTE, NA JITAHIDI KUONESHA UMUHIMU NA UTHAMANI WA ELIMU YAKO KWA KUELIMISHA NA
SIYO KUTOA DHARAU, HAITAKUSAIDIA SANA BALI ITAKUSHUSHIA HADHI MBELE YA JAMII YAKO.

Oooohh....!!! I am deeply sorry, my apology to u all, u said it
absolutely right, kama ni Elimu, uelewa wa mambo, mali Mungu provided all to me, very, very few supported me for my inner feelings about relationship, most argued i broke std 7 dignity, humanity, this is Easter nisameheni, but ukweli naujua mwenyewe, i will never express again hapa, i don't need cheap popularity, i will remain how i am on my feelings, let's live a real natural life not artificial one,
Bright future days ahead nawatakia.
 
Nadhani hujui maana halisi ya ukihiyo.Ungejua usingewaita mabinti wa darasa la saba wasiojua mapenzi vihiyo.Infact mambo uliyoandika ni upuuzi mtupu, huo ndio ukihiyo wenyewe.Kutojua mapenzi sio ukihiyo,it's lack of knowledge, kwani wewe unajua kila kitu.
Straight to the point.... Wanawake walioishia darasa la saba hawajui mapenzi kabisa, kitandani hata kimaongezi wengi wao washamba, they almost don't know themselves wapo wapo tu, najua luv doesn't depend much on academic level, ila luv expression does, in love making, expressing they are vihiyo, iam sorry jaribu kutoka mmoja wao. I am done if ur standard seven sitongozi. leta at least O-level certificate, huna sitongozi, std VII waste of
time
 
Tuwaulize wale wenye wake/mahawara/GF walioishia darasa la saba....wao wanasemaje? Ila mimi nasema big NO! Kuna wanawake wengi tu wamesoma sana na wanaweza kuku disappoint on bed. Unataka kuniambia kuwa wanawake waliosoma ndio marvelous on bed? Otherwise, unaleta changamoto tu hapa, unataka kupata mawazo ya wana JF! Umeshajaribu watu wa pwani wanaoshinda kwenye mabaibui na wengi wao ni STDVII?
 
Asante sana kaka zetu wenye upako wa HEKIMA ya kuona mbali tofauti na Mr. Pesident. Hii mada kama umei-frame kwa akili zako siyo za kuazima, naomba mwambie Mungu wako kwamba umekosa juu ya mbingu na nchi, umewadhalilisha mama, dada, bibi na bintizo waliokuwezesha kuja duniani. Ebu imagine mama yako asingekuwa mshamba akajanjaruka na kutoa ujauzito wako nafikiri wewe ungesingekuwa hapo ulipo.

Hofu yangu kubwa ni kwamba "you are cheap for charcoal dealers", unakimbizana na hao wa darasa la saba kutokana na kukataliwa na wenye elimu zao. Pia sishangai sana nikikuita wa "kukataliwa" na hao unaowadharau wa STD seven.

Laani ulimi wako kukurusu kutoa mada ya kishetani kama hiii, at the same time nakuombea mwenyezi Mungu akutie nguvu.

Hekima yako ni kuomba msamaha kwetu dada, mama zako.

Nawasilisha
 
Wether u like it or not, std 7 kwa std 7 they can merge engage &amp; kuelewana, upeo ni so crucial in relationship, wazee wa zamani as i said walikuwa equal 7 by 7 or shuleless, be honest toka na std7 or less uniambie, is like uko alone on bed, so again dump &amp; dumperer walk together<br />
At least o-level, hujafika 4, no seduction, i stand not to be corrected 4 this, period
<br />
<br />


Nakusoma Sana Mr.President,kitu unachokizungumzia watu wengi hawawezi kukikubali na hasa kwa jinsi ulivyowasilisha Wazo lako!!
Mimi ninaamini kwamba Ndege wenye Manyoya yanayofanana Huruka Pamoja,NAKUBALIANA NA WEWE KWAMBA UPO UWEZEKANO MKAWA WAWILI LKN UKAJISIKIA UPO PEKE YAKO!!

Mr.President,Pengine ingekuwa Vyema zaidi ungezungumzi Ufahamu/Elimu ya Mtu zaidi kuliko kiwango cha Formal Education na hasa kuangalia Cheti! Cha muhimu zaidi ni Uwezo wa Mtu KUFIKIRI INDEPENDENTLY NA HAPO NDIYO TUNAPIMA IQ YA MTU!!

Formal Education inao uzoefu wa Kuongeza Uwezo wa Mtu wa Kufikiri ingawa kuna Watu ambao ni Impervious to Education,On the other hand kuna watu ambao ni Intelligent Genetically!!

Kuwa Muangalifu,Mtu anaweza kuwa Ame-graduate kwenye cheti lakini Upstairs ni Zero Brain,In a nutshell,usimhukumu mtu kwa kuumuliza mtu kiwango chake cha Elimu,Kaa naye,zungumza naye mambo,tengeneza changamoto za kuupima uwezo wake wa kufikiri then AMUA!!
It wud be stereotyping concluding that every std 7 Leaver has a low level of intelligence,sio wote!!

Cha Muhimu Mhe.Rais Chukua mtu wa Rika lako kiakili siyo kielimu,Hii ni Hekima ya Mungu mwenyewe,Imeandikwa "Je Wawili wanaweza kwenda Pamoja Isipokuwa wamepatana?"

Kupatana kunakotwaja hapo ndiyo Congruence katika Kunia Kwenu hadi Ngazi zenu za Akili!!


Ndiyo Upo Uhusiano katika ya Uwezo wa Mtu wa Akili na Ubora wa Tendo la Ndoa,Mapenzi uanza katika Mazungumzo,mtu ambaye akili yake ni chini na talk yake itakuwa ni ya ngazi ya chini(Given that ww ni mtu mwenye akili safi) lazima atakuboa na itaathiri tu Ushirika wenu katika KUHOMOLANA!!

NAUNGA MKONO HOJA YAKO MR.PRESIDENT 100% ON CONDITION THAT U DONT USE ELIMU NA AKILI INTERCHANGEABLY!!!
 
hahahaaa, you are right, nilitakiwa kuandika 'nisingeweza kuolewa', lol.

Unajua mapenzi hasa ndani ya ndoa hayakamilishwi na sex. Vitu kama compatibility mara nyingi inachangiwa na what you people talk about, likes, do's and dont's. Hebu fikiria wewe unapenda maongezi kuhusu mambo ya maendeleo, investiment za hali ya juu, uleaji wa watoto kwa misingi ya mrengo wa kati; huyo itafikia wakati ataona unampelekesha kwa sababu unatake lead kwenye kila kitu. Lazima ucounter check this and that.

Nadani suala la la elimu katika ndoa ni muhimu, Professor anaweza kuoa form six failure (wanawake wanavumilia na hawa inferiority complex). Mwanaume form six failure akioa Master holder tu (halafu bahati mbaya mwanamke awe muongeaji na mchakarikaji) there must be a problem among 95% o the marriages. Hapo sasa ndipo utakapoanza kusikia wanawake wasomi wana matatizo.

Any way God know's the best.






Ndoa is not all about kukata kiuno. Labda kama ni uhusiano wa muda mfupi au kibiashara, then mauno comes first.

Nyeusi - una point ya maana sana ila nitaongezea kuwa wanaotaka kuoana au uhusiano wa muda mrefu basi ni vizuri kutafakari sana suala la mpishano wa elimu maana mkipishana sana kuna matatizo yake kwenye compatibility which is key for sustainability of a relationship.

Penye nyekundu umenena vema.Ndoa ni zaidi ya mambo hayo.

Mr President angetusaidia zaidi kama angechambua dhana yake ya elimu na ushamba wa mapenzi.
 
Straight to the point.... Wanawake walioishia darasa la saba hawajui mapenzi kabisa, kitandani hata kimaongezi wengi wao washamba, they almost don't know themselves wapo wapo tu, najua luv doesn't depend much on academic level, ila luv expression does, in love making, expressing they are vihiyo, iam sorry jaribu kutoka mmoja wao. I am done if ur standard seven sitongozi. leta at least O-level certificate, huna sitongozi, std VII waste of
time

Yote yanakutoka ni sababu ya vamiavamia yako.Yawezakuwa ulivamia wa dampo sasa kwa aibu wajitia wa std 7 ni Vihiyo.Wewe mwenyewe ni kihiyo wa MAHABA! kumbuka ulikotoka!we si ndo unatoka kwenye familia ya VIHIYO! acha kubeza elimu za watu hujui ni kwasababu gani wamekwamia hapo ktk 7
 
straight to the point.... Wanawake walioishia darasa la saba hawajui mapenzi kabisa, kitandani hata kimaongezi wengi wao washamba, they almost don't know themselves wapo wapo tu, najua luv doesn't depend much on academic level, ila luv expression does, in love making, expressing they are vihiyo, iam sorry jaribu kutoka mmoja wao. I am done if ur standard seven sitongozi. Leta at least o-level certificate, huna sitongozi, std vii waste of
time

nimepata jibu kuwa sababu ya kutotongoza tena hivyo vibinti vya std 7 si kweli kama ni vihiyo wa mambo bali umeacha ile tabia yako ya ufataki.hongera mzee!
 
for your information hao unaosema hawajui na washamba basi umekosea sana,hao ndiyo wenye muda mwingi wa kudeal na love making kuliko wasomi maana hawana stress za mawazo,pia kama walishindwa kusoma basi ujue wapo fiti kwenye taaluma nyingine.mfano mzuri ni kati ya HOUSE GIRL na MKEO MSOMI mwenye uwezo wa kupiga mechi vizuri ni house girl NDIYO maana ndoa zinavunjwa na ORDINARY WORMAN.
 
Sijajua kwanini Darasa la saba wanatukanwa hapa au kuna matatizo ya Kisaikolojia! (maana neno washamba! nadhani halijatumika vyema hapa)

Mara zote nimekuwa nasema kuna kusoma na kuelimika hivi ni vitu viwili tofauti! na vyeti siyo uwezo wa akili, bahati mbaya sana huwezi kumjua mtu anaelimu gani humu JF ila heshima ni lazima iwekwe mbele siyo dharau, ni bora ungemtaja huyo Darasa la saba wako aliyekukwaza kwa jina siyo kuunganisha watu wote wenye elimu ya Msingi na kuwaita eti wote washamba, kwasababu huyo wakwako unamwona mshamba, labda nawewe anakuona Mshamba pia anasema hataki tena watu kama wewe! Sioni kama unayo-Sample sahihi ya Darasa la saba kiasi cha ku-judge kuwa wote ni washamba na hawajui uloda si kweli wao ndio wanaongoza kwa Tanzania, ndio waliofundwa na kwenda unyago kuliko hao waliokuwa biz mashule na kukimbia unyago.

Tunajua Darasa la saba walijenga familia hadi za PhD, walio olewa hadi na Ma-Prof, Mara zote maneno yanaweza kushusha au kujenga heshima.

Hivi ni syllabus ya nchni gani baada ya Darasa la saba wanafundisha mapenzi? tuanzie hapo alafu tutaelewana baadae.
 
Back
Top Bottom