Wether u like it or not, std 7 kwa std 7 they can merge engage & kuelewana, upeo ni so crucial in relationship, wazee wa zamani as i said walikuwa equal 7 by 7 or shuleless, be honest toka na std7 or less uniambie, is like uko alone on bed, so again dump & dumperer walk together<br />
At least o-level, hujafika 4, no seduction, i stand not to be corrected 4 this, period
<br />
<br />
Nakusoma Sana Mr.President,kitu unachokizungumzia watu wengi hawawezi kukikubali na hasa kwa jinsi ulivyowasilisha Wazo lako!!
Mimi ninaamini kwamba Ndege wenye Manyoya yanayofanana Huruka Pamoja,NAKUBALIANA NA WEWE KWAMBA UPO UWEZEKANO MKAWA WAWILI LKN UKAJISIKIA UPO PEKE YAKO!!
Mr.President,Pengine ingekuwa Vyema zaidi ungezungumzi Ufahamu/Elimu ya Mtu zaidi kuliko kiwango cha Formal Education na hasa kuangalia Cheti! Cha muhimu zaidi ni Uwezo wa Mtu KUFIKIRI INDEPENDENTLY NA HAPO NDIYO TUNAPIMA IQ YA MTU!!
Formal Education inao uzoefu wa Kuongeza Uwezo wa Mtu wa Kufikiri ingawa kuna Watu ambao ni Impervious to Education,On the other hand kuna watu ambao ni Intelligent Genetically!!
Kuwa Muangalifu,Mtu anaweza kuwa Ame-graduate kwenye cheti lakini Upstairs ni Zero Brain,In a nutshell,usimhukumu mtu kwa kuumuliza mtu kiwango chake cha Elimu,Kaa naye,zungumza naye mambo,tengeneza changamoto za kuupima uwezo wake wa kufikiri then AMUA!!
It wud be stereotyping concluding that every std 7 Leaver has a low level of intelligence,sio wote!!
Cha Muhimu Mhe.Rais Chukua mtu wa Rika lako kiakili siyo kielimu,Hii ni Hekima ya Mungu mwenyewe,Imeandikwa "Je Wawili wanaweza kwenda Pamoja Isipokuwa wamepatana?"
Kupatana kunakotwaja hapo ndiyo Congruence katika Kunia Kwenu hadi Ngazi zenu za Akili!!
Ndiyo Upo Uhusiano katika ya Uwezo wa Mtu wa Akili na Ubora wa Tendo la Ndoa,Mapenzi uanza katika Mazungumzo,mtu ambaye akili yake ni chini na talk yake itakuwa ni ya ngazi ya chini(Given that ww ni mtu mwenye akili safi) lazima atakuboa na itaathiri tu Ushirika wenu katika KUHOMOLANA!!
NAUNGA MKONO HOJA YAKO MR.PRESIDENT 100% ON CONDITION THAT U DONT USE ELIMU NA AKILI INTERCHANGEABLY!!!