Wanawake eti hizi ndio njia wanazotumia kumkataa mwanaume

Gia za kuwakataa nyie siku hizi sio hizo tu stunter gia kubwa ya siku hizi na naamini hautarudi ni kukubali siku hiyo hiyo na kukupiga bonge la mzinga wengi huwa hawarudi tena akirudi nakula hela na najifanya nimekosea kutuma sms ya kuulizia arv ikaenda kwake hapo ndo basi tena harudi tena ng'oooo
 
STUNTER hujawai kutuelewa wanawake [emoji26][emoji26]
Ila ujue Mungu anakuona [emoji26][emoji26]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Sikuizi Hatuna Ushemeji, Tunakula hata uwe na pepopunda babeki
 
Moyo machine,lakin majibu ya upendo ulishakosa.
 
Mi anachukula hela yangu huwa Hachomoi,,, ninaweza kaa hata ,,Mwezi,,, unakuja mwenyeweee,,, tena hasa wanaojidai wasomi,, nawakula kweli,,,ukikubali tu pesa,, jua umeliwa,,
 
Huwa wananigbu hvyo hvyo na baadae haina ushemeji..then nawageuzia kibao.....Nyambafu/
 
STUNTER hujawai kutuelewa wanawake [emoji26][emoji26]
Ila ujue Mungu anakuona [emoji26][emoji26]
Hahaah... Tatizo hamueleweki mnataka nini,
Mkipewa hela alafu Sex game ikawa Weak mnatushambulia kwa maneno mpaka tunajuta kuwafahamu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…