Wanawake eti hizi ndio njia wanazotumia kumkataa mwanaume

Nikikujubu ivo ujue nimekufananisha na takataka hata ukinisogelea natamani kupiga kelele..
 
huwa nashangaa anasema ana mtu wake lakin ukikaza baadae anakubali unambandua huku huna penz la kweli tena make unajua ana mtu wake, nikimalza 2 siku hyohyo naanza kutafuta koloni jipya
Wanafeli kwenye somo linaloitwa MSIMAMO
 
Kuna best yang aliachwa na msichana wake eti kisa jamaa anakula PWEZA. ... Hahahaha haha hahaaaaa wanawake bhana
Hahaha... Kwa system hiyo unaweza ukawa umezoea Colgate siku akakuacha kisa umetumia Whitedent
 
hahaaaaaa, Vp na kwa anayekwambia anamtu af baada ya cku mbil tat anakbal ????
 
huwa nashangaa anasema ana mtu wake lakin ukikaza baadae anakubali unambandua huku huna penz la kweli tena make unajua ana mtu wake, nikimalza 2 siku hyohyo naanza kutafuta koloni jipya
una akil saana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…