Complex
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 4,119
- 4,779
Ndo shida yenu,mkiambiwa ukweli mnachukia.
Yaani mmezoea kudanganywa danganywa tu,
Sijui mmekuwaje...
Hahahaaaa, Tokea nianze hii game ya kutongoza. Hakuna msichanaa niliyemtongoza akaniambia yupo single. Wooote huwa wanasemaga wana watu wao, Ila eti wanakuwaga katika bad moments ndo baadae haipiti muda unakuta napewa jibu la ndio. Huwa najiulizaga sana inakuwaje hivi.? ina maana nina pua ya kunusa mahusiano yenye nyufa ama ni nini. nakosaga jibu aisee.