Wanawake eti hizi ndio njia wanazotumia kumkataa mwanaume

Wanawake eti hizi ndio njia wanazotumia kumkataa mwanaume

Kweli mkuu, hali ya magu inawatesa sana hawa vimwana, kwasasa ukibadilishana nao cm, dkk chache unapokea txt ikiuliza( nikwambie kitu!)
Ukijibu ndio, tayari umepigwa mzinga...hawana ujanja, hakuna cha urembo wala ufungishaji....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahah leo nimepigwa mzinga mtakatifu... Ngoja nitaandaa thread ili nihadithie vizuri
 
Ili tuelewe kama mpo serious au vipi. Nyie mnataka tuwakubali bila hata kujua mitabia yenu?

You have to investigate before investing.
Hiyo elimu ya kutupima sisi mumeipata wapi kama sio umbea?
 
Msichana akitaka kukutafutia sababu ya kukukataa
wala hatumii nguvu, ana full of
option, na majibu yao makuu ni haya yafuatayo:

1.We kwanza mweusi na mi mweusi mtoto atakuwa
so dark, mi napenda wanaume weupe ili mtoto atoke
mzuri.. Anaongea kwa kujiamini utadhani kwenye kutunga mimba huwa anamsadidia Mungu kukoroga
kopo la rangi ya mtoto...

2.We sio type yangu...: sasa sijui type ipi anataka Nokia
au Samsung

3.Am not ready, moyo wangu umepasuka...moyo
upasuke bado unatembea??Tairi lenyewe likipasuka watu wanaziba
pancha...
Kuwa Mwanaume shida, tunapambana na
majibu unaweza kumzaba vibao mtu na Love inaisha
hapohapo!..
[emoji121]
WEKA PICHA HATA YA PASSPORT SIZE MKUU.
 
Hahahaaaa, Tokea nianze hii game ya kutongoza. Hakuna msichanaa niliyemtongoza akaniambia yupo single. Wooote huwa wanasemaga wana watu wao, Ila eti wanakuwaga katika bad moments ndo baadae haipiti muda unakuta napewa jibu la ndio. Huwa najiulizaga sana inakuwaje hivi.? ina maana nina pua ya kunusa mahusiano yenye nyufa ama ni nini. nakosaga jibu aisee.
Wacha nilale maana leo nacheka kwa hizi comments,haya yote kayataka mtoa mada STUNTER
 
Back
Top Bottom