Mkuu kamcheki sossy magari aisee kule insta. Yule jamaa anauza magari ya bei chee uzuri kabisa anakuwa kakwambia hili halitembei labda ulibebe... Hebu pita kwenye page yake mkuu, sema uwe tayari kuwa rafiki na magarage maana mbongo kukuuzia gari ujue mara nyingi kuna tatizo.🤣Mkuu kama naweza kupata PRemio mzee nichek pm
Sosy magar naangalia Kila sku sijaona gari mkuu zaidi ya zile screpaMkuu kamcheki sossy magari aisee kule insta. Yule jamaa anauza magari ya bei chee uzuri kabisa anakuwa kakwambia hili halitembei labda ulibebe... Hebu pita kwenye page yake mkuu, sema uwe tayari kuwa rafiki na magarage maana mbongo kukuuzia gari ujue mara nyingi kuna tatizo.
Hata kwa huyu jamaa. Sema ukiwa specific na gari husika kulipata kwa hawa kipengele labda uende sehemu kama magomeni pale wanakopaki magari yanayouzwa.Sosy magar naangalia Kila sku sijaona gari mkuu zaidi ya zile screpa
Nitapita nichekiHata kwa huyu jamaa. Sema ukiwa specific na gari husika kulipata kwa hawa kipengele labda uende sehemu kama magomeni pale wanakopaki magari yanayouzwa.
magari_used_bei_nafuu
Chukua hata zimwi la brevis mkuu hapo 5.5 mpaka 6 unalipata mkuu. Gari linafunguka lile sema ndo linabugia wese.Nitapita nicheki
Hilo hapana mkuu nataka la kupiga biashara ilo halifaiChukua hata zimwi la brevis mkuu hapo 5.5 mpaka 6 unalipata mkuu. Gari linafunguka lile sema ndo linabugia wese.
unataka kupiga uber au bolt mkuu? Kama ni hivyo unahitaji gari ambalo ni la uhakika sio kwenda garage kila siku hapo walau uwe na fedha nzuri mkuu.Hilo hapana mkuu nataka la kupiga biashara ilo halifai
yani balaa!Walishachezewa sana wakachoka sasa wamekuwa manunda
unataka kupiga uber au bolt mkuu? Kama ni hivyo unahitaji gari ambalo ni la uhakika sio kwenda garage kila siku hapo walau uwe na fedha nzuri mkuu.
Follow page za madalali wa magari mkuu utapata premio hiyo old model uliyosema.Nataka kupiga tax mkuu
Nikipata ya 2005 kurudi nyuma itakua poa zile n ngumu sanaFollow page za madalali wa magari mkuu utapata premio hiyo old model uliyosema.
Yes zile ngumu sana na popote unatimba bila shida ila wafuate wauza magari hata watano utapata mkuuNikipata ya 2005 kurudi nyuma itakua poa zile n ngumu sana
Mkuu iv kwa scenario hio ,c unaona kabsa wako kimaslahi?, kama ndio hivi ndoa tupa kule.Maisha sio fair ila hakuna namna tuvumiliane.
Mwaka huu nilikuwa introduced kwa binti fulani, nikapenda character yake. Mwanzo akawa ananipotezea, siku moja kakubali nikamtoa, basi toka siku hiyo si akawa kama kapagawa nami.
Kumbe ana bwana yake wamedumu toka chuo wamepitia mengi, ila msela ndo hajajipata. Aliniambia ana mahusiano, but kila mtu ana mahusiano so sikujali sana maana sikujua kama jamaa anamwelewa sana binti.
Siku zilivyozidi kwenda jamaa akanotsi binti anamuignore, kisa tu nikija nambeba kwa gari, nampeleka nice places.
Jamaa kumbana binti si akasema hamtaki tena amepata new guy ambaye ni mimi. Sina hili wala lile namba mpya inanipigia usiku. Kusikia ni jamaa anaanza jitambulisha, anauliza kama namfahamu binti fulani. Anyway niliona jamaa kafanya jambo la kidwanzi sana, mimi siwezi kumpgia msela anayepita na mpenzi wangu for what, labda angekuwa mke.
Ila alikuwa mstaarabu so na mimi ni ka act cool. Jamaa akaanza nieleza walikotoka, jinsi anavyompenda sijui nini. Mimi mwisho nikamwambia, ni kweli alichokwambia, ila mimi sikujua kama mko serious kihivyo. Ila kama vipi flesh, mimi nampotezea manzi wako. Ila mwanangu jitafute, acha kulialia na mabinti, mimi ntampotezea, ila atakuja mwingine atambeba. Wewe badala ya kujitafuta uko unalialia haikusaidii.
Kumbe boya linanirekodi si likaenda msikilizisha.
To cut the story short... Demu nilimpotezea na demu akampotezea jamaa pia.
So mwanangu, wanawake ni opportunist, akiona fadhali kwa mtu wengi wako radhi kukuacha solemba waende wanakoona ahueni.
Mkuu ni vigumu sana kupata mwanamke wa kuvumiliana kwa shida na raha. Na ndio maana couples nyingi za chuo huo zikirudi mtaani hazidumu. Mwanaume akikosa mwelekeo yeye binti atatafuta mtu anayemwona labda ana mwanga kidogo.Mkuu iv kwa scenario hio ,c unaona kabsa wako kimaslahi?, kama ndio hivi ndoa tupa kule.
Umesema kakuacha kamfuata jamaa wa Subaru,angekua fungu lako asingeondoka.Wapi nimesema ni fungu langu?
Nondo za Natafuta ajira ni kali sanaaDating pool is like a jungle, hakuna atakaekuonea huruma ni survival of the fittest. Selfish and hypergamy nature ya mwanamke inajulikana kwaiyo mwanaume ukiwekeza hisia au pesa huo ni ujinga wako kwa sababu akitokea mwanaume mwingine akamuwekea kubunda mezani mwanamke wako hatokumbuka investments na sacrifices zako kwake.
Usijitoe, usiwekeze, jipe kipaumbele wewe mwenyewe. Usitengeneze commitment kwenye mahusiano wakati unajitafuta. Demu akitaka kwenda mwache aande, na wewe kipindi chako kikifika fanya vulugu ipasavyo usimuonee huruma binti wa mtu. Ukishakichafua sana hapo dating pool sasa unataka kutulia then go for a young, fresh and innocent woman
Stay sharp men, relationship are not what they used to be, the game has changed. Know what you are getting in, rise your standards and never settle for less.
Kitu imenigusa mkuu mtu Kuja kwasababu ya ahueniMkuu ni vigumu sana kupata mwanamke wa kuvumiliana kwa shida na raha. Na ndio maana couples nyingi za chuo huo zikirudi mtaani hazidumu. Mwanaume akikosa mwelekeo yeye binti atatafuta mtu anayemwona labda ana mwanga kidogo.
Sema pia hii ndio sababu hata usaliti kwenye ndoa unakuwa ni kwa kiwango kikubwa. Unamuoa binti si kwa sababu anakupenda, ila kwa sababu kwako kaona ahueni, kamwacha anayempenda. Baadaye ataanza kumtafuta na watacheat tu.
Ifike mahala tuachane na hili neno funguUmesema kakuacha kamfuata jamaa wa Subaru,angekua fungu lako asingeondoka.