Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Anaelewa ndio maana ameumia, anatumia kigezo cha sura mbaya kujifarijiHuyu bado hajaelewa utamu wa SURA MBAYA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaelewa ndio maana ameumia, anatumia kigezo cha sura mbaya kujifarijiHuyu bado hajaelewa utamu wa SURA MBAYA
Mzee wa story za bondeni [emoji23][emoji23][emoji23] kuna story gani ingine mkuuUmechelewa sana kulijua hilo boss. Kaa mbali na mwanamke mwenye tamaa.
Nina uhakika mkuu. Hata wewe fanya uchunguzi mke wako usipompa kitombo cha kutosha atakuwa na kisirani siku zote hapa umpe nini hawezi kukuelewa wala kukuheshimu.Una uhakika na unachokisema
AHSANTEWewe ambaye hayakutesi hongera
Una hasira sanaKaza moyo mkuu huo ndo uanaume ila hawa wanawake ni matakataka kasoro mama yako,
Tumia huo uchungu ulio nao kufanya maendeleo yako binafsi na kuzagamua nyapu za kila aina kwa uangalifu pasi na huruma yeyote mpaka uwang'oe wadada kizazi ila wakishika mimba watelekeze.
Nb: Sitakaa nitetee tena hawa mbayuwayu hata kidogo hawana utu kabisa
should be raise your standards....Know what you are getting in, rise your standards and never settle for less.
wanawake siku hizi kwa kuchezea uvulana wa wanaumeeeKuna mdau alisema lianzishwe jukwaa la malalamiko ya mapenzi yanayotolewa na wanaume.
Melo tafadhali ongeza jukwaa la LIA LIA FORUM FOR MEN
Walishachezewa sana wakachoka sasa wamekuwa manundawanawake siku hizi kwa kuchezea uvulana wa wanaumeee
Usilizwe kizembe zembe na mwanamke mkuu.Unazani ukimsupport utaitiwa nyonyo !!?
So kwako gari ni big deal? Ni usafiri tu kuna gari used hadi za milioni tatu mjini hapa. Pambana kijana umiliki hata passo usiwe na hasira.
kwamba hakuna gari used za milion tatu hapa mjini au? Zipo ni uamuzi wako tu unaweza kuapta corolla old model au ukapata litakalokufanya uwe rafiki na mafundi.Mkuu upo serias??
🤣Mkuu kama naweza kupata PRemio mzee nichek pmkwamba hakuna gari used za milion tatu hapa mjini au? Zipo ni uamuzi wako tu unaweza kuapta corolla old model au ukapata litakalokufanya uwe rafiki na mafundi.