Wanawake, hakikisheni kuwa sababu zenu za kumkataa mtu ni za msingi na za maana

Wanawake, hakikisheni kuwa sababu zenu za kumkataa mtu ni za msingi na za maana

Ushauri wangu jikite jukwaa la SIASA mkuu maana inaonekana mapenzi yalikufanya vibaya
Mkuu, katika maisha ya mwanaume kijana kamili anayetongoza kuna kukubaliwa, kukataliwa, kuachwa, kuacha, kusalitiwa, kusaliti, kutakwa na X, kutakwa na aliyekukataa, n.k n.k Haya ni maisha ya mwanaume yoyote, Hakuna la ajabu la kukuliza liza.
 
Anzeni kuwekeza hela muone maumivu yake. Wewe hauwekezi chochote zaidi ya hisia hivi mahusiano yakifa unaweza kulinganisha maumivu yake na mtu ambae amekusomesha au kukufungulia biashara?

Wanaoongoza kudai talaka ni wanawake na hii ni kwa sababu hamna cha kupoteza, unafikiri sharti la kugawana mali likiondolewa kuna mwanaume ambae ataogopa au ataumizwa na talaka? Hamuumii sio kwamba mpo imara, ni kwa sababu hamuwekezi pesa au mali kwenye mahusiano.
Sa si muache kuwekeza kwenye pesa? Mnaongea as if mmelazimishwa kuwekeza kwenye pesa, wale wanawake walioliwa na Baltazar wengi wao hawakuwa na shida ya pesa.
Kwanini ukubali kulizwa kizembezembe?
 
Huend
Sasa jamaa yako kwanini alikuwa anavumilia sura mbaya? Alikuwa ananufaika nini na mwanamke mwenye sura mbaya, au alilazimishwa?
Huenda bodi bovu lakini mashine ni hatari... Kijana kapagawa na mashine
 
Just imagine umekaana na mshikaji miaka mi 4
Mmetambulishana Kwa familia Ujanja wote mshikaji anakufundisha akijua kabisa wewe sio mzuri ila kaamua kukuheshimu tu hakufanyiii usenge

Ghafla unapagawa na msela mwenye Subaru unaongoka Kwa aliye vumilia ubaya wako Kwa dharau na kebehi

Unazani umepata ka jamaa ka Subaru kana kupigisha kwata haswa Hadi kanakufirisi na biashara yako akili zinakurudi unaanza kuwa una msumbua ex-wako na wakati uliondoka Kwa nyodo na dharau

Wanawake baadhi ni nyumbu sana uyu nmechoka na nimechoshwa na simu zake

SHE IS A WOLF IN SHEEPING CLOTHING

Wadau tujitenge Sana na wanawake wenye tamaa ni sumu anaweza kukuua kabisa kisa pesa
Weka tinted Kama haumjui, ni mihemko tu huwa inawasumbua
 
Izo ulizozitaja ni sababu moja wapo, pia sababu nyingine kubwa ni mfumo jike ambao dunia inahuishi kwa sasa ambapo mwanaume kakalishwa kushusha standard yake na kukubaliana na mabaya yote ya mwanamke ikiwemo past chafu ndio ugentleman sijui ureal man wakati upande wa pili mwanamke kakalishwa woman supremacy ndio usawa.

Ukiweka hapa uzi wa kuwaambia wanaume wasimame kwenye standards zao mfano kuoa mwanamke bikira. Kuna wanaume wenzako watakushambulia kwa sababu tayari wameshamezwa na mfumo jike. Tumewaachia wanawake waishi bila kuwa accountable kwa lolote matokeo yake ndio haya.
Mkuu, mwanaume kazi yake ni kuchakata na kutunza matokeo ya uchakataji yaani hao watoto.

Mambo ya kupenda penda ndo yanayoleta matokeo ya kipuuzi si kuoa bikra wala kuwa na mjane.

Nimebahatika kuishi na jamii za kimasai. Kule wanaume wa kimasai hawana mambo ya kupendana pendana kama vijana wa mbezi na kinondoni, hawajali una bikra au umekeketwa, una watoto au huna, unachakatwa na kupewa mimba na punda zako.

Kosa wanalofanya ni moja tu, wanamwachia mwanamke jukumu lote la kutunza watoto lakini mengine yoote wanafanya kama nature inavyotaka na wanaume wanafurahia kuwa wanaume, wao na ng'ombe zao na kuchakata na kuwinda.
 
Dating pool is like a jungle, hakuna atakaekuonea huruma ni survival of the fittest. Selfish and hypergamy nature ya mwanamke inajulikana kwaiyo mwanaume ukiwekeza hisia au pesa huo ni ujinga wako kwa sababu akitokea mwanaume mwingine akamuwekea kubunda mezani mwanamke wako hatokumbuka investments na sacrifices zako kwake.

Usijitoe, usiwekeze, jipe kipaumbele wewe mwenyewe. Usitengeneze commitment kwenye mahusiano wakati unajitafuta. Demu akitaka kwenda mwache aande, na wewe kipindi chako kikifika fanya vulugu ipasavyo usimuonee huruma binti wa mtu. Ukishakichafua sana hapo dating pool sasa unataka kutulia then go for a young, fresh and innocent woman

Stay sharp men, relationship are not what they used to be, the game has changed. Know what you are getting in, rise your standards and never settle for less.
 
Mkuu, mwanaume kazi yake ni kuchakata na kutunza matokeo ya uchakataji yaani hao watoto.

Mambo ya kupenda penda ndo yanayoleta matokeo ya kipuuzi si kuoa bikra wala kuwa na mjane.

Nimebahatika kuishi na jamii za kimasai. Kule wanaume wa kimasai hawana mambo ya kupendana pendana kama vijana wa mbezi na kinondoni, hawajali una bikra au umekeketwa, una watoto au huna, unachakatwa.

Kosa wanalofanya ni moja tu, wanamwachia mwanamke jukumu lote la kutunza watoto lakini mengine yoote wanafanya kama nature inavyotaka na wanaume wanafurahia kuwa wanaume, wao na ng'ombe zao na kuchakata na kuwinda.
Mwanaume hata ukipenda hakuna tatizo ishu ni kupenda kwa logic na kucontrol hisia zako hapo ndipo masimp wanashindwa na kutudhalilisha wanaume wote.
 
Sasa jamaa yako kwanini alikuwa anavumilia sura mbaya? Alikuwa ananufaika nini na mwanamke mwenye sura mbaya, au alilazimishwa?
Sura mbaya inaponya roho.

Halafu wanawake wenye MASURA MABAYA huwa wana MBUNYE TAMU mno kama SUKARI GURU.

Unakuta LIMBUNYE LA MOTO linanata sana, unakula mpaka unasema asante wewe dada mwenye SURA MBAYA.

Cc: min -me raraa reree Half american Extrovert Mbaga Jr Poor Brain Mzee wa kupambania ChoiceVariable Lucas Mwashambwa Tlaatlaah Kalpana Lamomy cocastic Kapeace
 
Sa si muache kuwekeza kwenye pesa? Mnaongea as if mmelazimishwa kuwekeza kwenye pesa, wale wanawake walioliwa na Baltazar wengi wao hawakuwa na shida ya pesa.
Kwanini ukubaki kulizwa kizembezembe?
Bado jamii kubwa ya wanaume inaamini mwanaume anawajibika kujitoa kwa mwanamke kwa kila hali, hawa hawajui kama kanuni za mchezo zimebadilika. Kaka zao tupo hapa kuwasanua. Taratibu watabadilika.
 
Mwanaume hata ukipenda hakuna tatizo ishu ni kupenda kwa logic na kucontrol hisia zako hapo ndipo masimp wanashindwa na kutudhalilisha wanaume wote.
Kabisa mkuu. Unalia lia utadhani wewe ndo upo kwenye risk ya kubebeshwa mimba na kukimbiwa.
 
Maisha sio fair ila hakuna namna tuvumiliane.
Mwaka huu nilikuwa introduced kwa binti fulani, nikapenda character yake. Mwanzo akawa ananipotezea, siku moja kakubali nikamtoa, basi toka siku hiyo si akawa kama kapagawa nami.
Kumbe ana bwana yake wamedumu toka chuo wamepitia mengi, ila msela ndo hajajipata. Aliniambia ana mahusiano, but kila mtu ana mahusiano so sikujali sana maana sikujua kama jamaa anamwelewa sana binti.
Siku zilivyozidi kwenda jamaa akanotsi binti anamuignore, kisa tu nikija nambeba kwa gari, nampeleka nice places.
Jamaa kumbana binti si akasema hamtaki tena amepata new guy ambaye ni mimi. Sina hili wala lile namba mpya inanipigia usiku. Kusikia ni jamaa anaanza jitambulisha, anauliza kama namfahamu binti fulani. Anyway niliona jamaa kafanya jambo la kidwanzi sana, mimi siwezi kumpgia msela anayepita na mpenzi wangu for what, labda angekuwa mke.
Ila alikuwa mstaarabu so na mimi ni ka act cool. Jamaa akaanza nieleza walikotoka, jinsi anavyompenda sijui nini. Mimi mwisho nikamwambia, ni kweli alichokwambia, ila mimi sikujua kama mko serious kihivyo. Ila kama vipi flesh, mimi nampotezea manzi wako. Ila mwanangu jitafute, acha kulialia na mabinti, mimi ntampotezea, ila atakuja mwingine atambeba. Wewe badala ya kujitafuta uko unalialia haikusaidii.
Kumbe boya linanirekodi si likaenda msikilizisha.
To cut the story short... Demu nilimpotezea na demu akampotezea jamaa pia.
So mwanangu, wanawake ni opportunist, akiona fadhali kwa mtu wengi wako radhi kukuacha solemba waende wanakoona ahueni.
Ke wote ni opportunists, Pimbi yeyote akihusisha ujumbe huu na Ndugu zangu Ke ni sawa tu maana hata hivyo nao si Me.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Mkuu, katika maisha ya mwanaume kijana kamili anayetongoza kuna kukubaliwa, kukataliwa, kuachwa, kuacha, kusalitiwa, kusaliti, kutakwa na X, kutakwa na aliyekukataa, n.k n.k Haya ni maisha ya mwanaume yoyote, Hakuna la ajabu la kukuliza liza.
Huwezi zoea maumivu acha kudanganya watu
 
Back
Top Bottom