Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Men hatulilii lilii mapenzi na kubembeleza bembeleza mwanamke akiamua kuondoka..Kuna mdau alisema lianzishwe jukwaa la malalamiko ya mapenzi yanayotolewa na wanaume.
Melo tafadhali ongeza jukwaa la LIA LIA FORUM FOR MEN
Basi acheni kutuumiza muone Kama tutaendelea kulia, nyie kila siku mnatupiga matukio ya ajabu ajabu hadi tunakufa mapema kabla ya siku zetuMnalia lia sana bana, inachosha. Kila saa kila dakika
Wafundisheni basi wadogo zenu wa kiume wasiwe nyoronyoro kiasi hiki.Men hawalilii lili mapenzi na kubembeleza bembeleza mwanamke akiamua kuondoka..
Men tuko focused kwenye malengo yetu, kisichopatana na malengo ni Trash...
Hebu futa hapo andika jukwaa la "BOYS"
Kwamba unadhani nyie hamtuumizi. Sisi peke yetu ndo mashetaniBasi acheni kutuumiza muone Kama tutaendelea kulia, nyie kila siku mnatupiga matukio ya ajabu ajabu hadi tunakufa mapema kabla ya siku zetu
Maisha sio fair ila hakuna namna tuvumiliane.Just imagine umekaana na mshikaji miaka mi 4
Mmetambulishana Kwa familia Ujanja wote mshikaji anakufundisha akijua kabisa wewe sio mzuri ila kaamua kukuheshimu tu hakufanyiii usenge
Ghafla unapagawa na msela mwenye Subaru unaongoka Kwa aliye vumilia ubaya wako Kwa dharau na kebehi
Unazani umepata ka jamaa ka Subaru kana kupigisha kwata haswa Hadi kanakufirisi na biashara yako akili zinakurudi unaanza kuwa una msumbua ex-wako na wakati uliondoka Kwa nyodo na dharau
Wanawake baadhi ni nyumbu sana uyu nmechoka na nimechoshwa na simu zake
SHE IS A WOLF IN SHEEPING CLOTHING
Wadau tujitenge Sana na wanawake wenye tamaa ni sumu anaweza kukuua kabisa kisa pesa
Uko sahihi mno mkuuBinafsi masuala ya wanawake yalishanipitaga kushoto,now naishi Kwa furaha na amani kama Niko Peponi !
Nikiwa Nina hamu na Mbunye natafuta Malaya moja zuri nalilipa nalikung'uta wiki nzima baada ya hapo kila mtu anashika njia yake!
Sasa uko wakikosa mbona wanashindwa kujishikilia?Maisha sio fair ila hakuna namna tuvumiliane.
Mwaka huu nilikuwa introduced kwa binti fulani, nikapenda character yake. Mwanzo akawa ananipotezea, siku moja kakubali nikamtoa, basi toka siku hiyo si akawa kama kapagawa nami.
Kumbe ana bwana yake wamedumu toka chuo wamepitia mengi, ila msela ndo hajajipata. Aliniambia ana mahusiano, but kila mtu ana mahusiano so sikujali sana maana sikujua kama jamaa anamwelewa sana binti.
Siku zilivyozidi kwenda jamaa akanotsi binti anamuignore, kisa tu nikija nambeba kwa gari, nampeleka nice places.
Jamaa kumbana binti si akasema hamtaki tena amepata new guy ambaye ni mimi. Sina hili wala lile namba mpya inanipigia usiku. Kusikia ni jamaa anaanza jitambulisha, anauliza kama namfahamu binti fulani. Anyway niliona jamaa kafanya jambo la kidwanzi sana, mimi siwezi kumpgia msela anayepita na mpenzi wangu for what, labda angekuwa mke.
Ila alikuwa mstaarabu so na mimi ni ka act cool. Jamaa akaanza nieleza walikotoka, jinsi anavyompenda sijui nini. Mimi mwisho nikamwambia, ni kweli alichokwambia, ila mimi sikujua kama mko serious kihivyo. Ila kama vipi flesh, mimi nampotezea manzi wako. Ila mwanangu jitafute, acha kulialia na mabinti, mimi ntampotezea, ila atakuja mwingine atambeba. Wewe badala ya kujitafuta uko unalialia haikusaidii.
Kumbe boya linanirekodi si likaenda msikilizisha.
To cut the story short... Demu nilimpotezea na demu akampotezea jamaa pia.
So mwanangu, wanawake ni opportunist, akiona fadhali kwa mtu wengi wako radhi kukuacha solemba waende wanakoona ahueni.
Jf Ina majukwaa mengi sioni kama nimelia lia Bali nmeleta mada tuchangieWanaume tuna matatizo, tumekuwa weak, Ni kulalamika tu. Huyo X si unamtusua tu kwa gharama zake mpaka akimbie mwenyewe?
kwanini tumekuwa watu wa kuendekeza kupendana pendana mno? Ni yale matamthilia ya mapenzi ndo yameharibu au hizi bongoflava za kulia lia?
Hatari itakuwa alikutana na mtu wa ivyoKuna wahuni wana nyota za kufilisi biashara za wanawake, sijui wanawapaga nini hadi ke wanachanganyikiwa vile. Kuna classmate yeye akiwa na ke mwenye biashara lazima ife ndio amuache. Kama ni grocery bia zitanywewa sana za bure.
Tukiwaambiaga ukweli wakati penzi limekolea huwa mnatushambulia kweli kweliJust imagine umekaana na mshikaji miaka mi 4
Mmetambulishana Kwa familia Ujanja wote mshikaji anakufundisha akijua kabisa wewe sio mzuri ila kaamua kukuheshimu tu hakufanyiii usenge
Ghafla unapagawa na msela mwenye Subaru unaongoka Kwa aliye vumilia ubaya wako Kwa dharau na kebehi
Unazani umepata ka jamaa ka Subaru kana kupigisha kwata haswa Hadi kanakufirisi na biashara yako akili zinakurudi unaanza kuwa una msumbua ex-wako na wakati uliondoka Kwa nyodo na dharau
Wanawake baadhi ni nyumbu sana uyu nmechoka na nimechoshwa na simu zake
SHE IS A WOLF IN SHEEPING CLOTHING
Wadau tujitenge Sana na wanawake wenye tamaa ni sumu anaweza kukuua kabisa kisa pesa
Waambie hao madogoWanaume tuna matatizo, tumekuwa weak, Ni kulalamika tu. Huyo X si unamtusua tu kwa gharama zake mpaka akimbie mwenyewe? Kama umemkinai binya hata hayo makalio huku unamwambia ushakitembeza sina hata hamu na wewe, tunadekezana dekezana kwanini?
kwanini tumekuwa watu wa kuendekeza kupendana pendana mno? Ni yale matamthilia ya mapenzi ndo yameharibu au hizi bongoflava za kulia lia?