Wanawake hamnaga shukrani kabisa


Siku nyingine uache ujinga na kujidharau.
Tena alichokufanya hakijakutosha, sijui Kwa nini hakuelewi mambo madogo Kama hayo.


Ikiwa mwanamke tuu ambaye hajazaa tena mwenye Bikra kummudu unapaswa ujishike sembuse aliyezalishwa? Bado mtanyooshwa akili ziwakae Sawa.

Mimi sioni shida Kwa wanawake Ila naona shida Kwa wanaume wajinga wasioelewa saikolojia na hisia za wanawake.

Mwisho soma hapa👉👉Usimuonee huruma Mwanamke
 
Ivi kuna mwanamme ambaye hajawah kuingia anga za hawa wafwazikwaji akapigwa za macho kweli???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ha
Hahahahahah kufwafwanzikaa
 
Yaukweli hayo? Ingekuwa hivyo basi kusingekuwepo utapeli wa mapenzi
 
Yaukweli hayo? Ingekuwa hivyo basi kusingekuwepo utapeli wa mapenzi
Wanatapeliwa wasiojua mapenz ya sasa!!kila kitu kimebadilika..hakuna mepnz siku hiz....ni kupotezeana muda tu huku mwenzako anaendelea kufaidi kipato chako kwa mgongo wa kujiita mpenx wako huku akiwa na lundo la wanaume nyuma anaowadanganya kama anavyokudanganya
 
Hii analysis umeifanya na kuassume mwanaume ni muhuni au ni baharia. Nakuapia hakuna baharia anayemgharamikia mwanamke hivyo, maana anajua ni business plan. Mwanamke akimgharamikia na kujitoa kwake hivyo kamwe usifananishe na biashara maana kwamba amependa. Selfish reasons ni kumpa materiliastic things ili kumpata huyo mwanamke na si kwenye upande wa maendeleo wa maisha ya huyo binti. Mwanamke asipokaa na kufikiri atapoteza second chance mara nyingi sana baada ya yeye kuachwa na mtoto wakati wa first chance. Mfano bima ni kwaajili ya maendeleo ya huyo mwanamke maana tayari amemkomboa kwenye wingi wa gharama za maisha anazoweza kuzipata. Kamwe mwanaume aliyekuwa anakutaka kwenye mlengo wa kukupa materialistic goals asingeumia au hata kulalamika maana jitihada alizofanya zingekuwa si kwaajili ya maendeleo ya huyo binti. Utawaongopea wanawake wengi sana kwaushauri huu maana kamwe yeye mwenyewe asipotulia chini na kuwaza mwanaume anasaidia kwa upande upi basi atazidi kuangamia na kupoteza kila uchwao. Ni kama ideology ya single mother, watu wamewalabel jina baya sana ila wewe ndio unayetakiwa kutafsiri na kuwaza maana si kila single mother huwa na upumbavu akilini mwao. Society zilitoamashauri kama yako na hii ya single mother kukutahadharisha kuwa chunguza kwa makini lakini haikusema kila wa hivyo yupo hivyo lasivyo utaishi kwakusikiliza mawazo superficial ya jamii na kujikuta either ni malaya, muhuni au usiyejua nataka nini maishani. Wewe ni wewe na maisha ni yako waza na fikiri kwa makini. Hata hivyo, maadili na jamii ishaangamia ila nasisitiza mwanamke asipotumia akili atabaki kudharauliwa na kuchezewa kila uchwao kwakuwaza superficial hasa lijapo swala la mahusiano, mfano mmojawapo ni kuchukuwa shauri kama lilivyo. Akuchezeaye hufanya maendeleo ya kuendeleza starehe na anasa bali akupendaye hufanya maendeleo ya kufanikisha maisha maana simjinga, maisha yakifanikiwa basgi mjue mtastarehe tu. Common sense is not very common.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha maneno mengi

Ilikua biashara,na wote wanajua sema unafiki uliwajaa

Huyu alitumia shida za mwingine ili ampate...na yule alikubali ili shida iishe then akili imrudie

Maneno meeengi hayana maana!
 
M
Acha maneno mengi

Ilikua biashara,na wote wanajua sema unafiki uliwajaa

Huyu alitumia shida za mwingine ili ampate...na yule alikubali ili shida iishe then akili imrudie

Maneno meeengi hayana maana!
Maneno mengi sikwasababu hutaki kusoma😂😂😂😂. Ndio ninapoendelea kusema mtanzania yupo tatari kuchukua kitu superficial ili akimbiye kuwaza au kufikiri. Halafu ukaamua wewe kama wewe kuwa wanaume wote wanaakili kama zako😂😂😂. Mengine, waza uwazavyo, akili ni nywele kila mtu anazake.
 
Kati ya somo gumu kueleweka hata kushinda hesabu ni hili la mapenz...kila siku watu wanashauri kwa kutoa nondo nzito ila watu bdo watu wanarudia makosa yale yale....yaan unatakiwa usimwamn binadamu awae yyte...hata wewe kuna muda usiamin maamuzi yako
Hata wewe Kuna muda usiyaamini maamuzi Yako [emoji419][emoji419]
 
Tayar huko amkeni amkeni!!!! kashaingia kweny mikono ya single mother.
Tukiwaambiaga hawa masingle maza ni wakutomber tuu mnatuona sie wabaya.
Mwanamke alimshindwa mwanaume mwenzio huyo kashindikana wala usijidanganye kuwa wee una akili kuliko mwenzio
 
Aiseee hivi testimony zote hizi wenzetu wanaopigwa matukio hko hawajawahi kuzisoma !?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…