Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,021
- 22,016
Uzi umepoa baridii hauna supportive evidence
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee, rudi kijijini kwenu ukafungue msikiti tuachie mji wetu.Wanawake wenye kujiheshimu, huwezi ona amevaa nguo ambayo akitembea na wakati mwingine hata akiwa amesimama, nguo ya ndani (pindo) zinajichora mpaka inakua albu kumtazama.
Mimi naamini huwa wanajiona kwenye vioo ila kwa akili zao baadhi wanaona ni sawa tu au ni sehemu ya kuongeza mvuto kitu ambacho si kweli.
Ukitaka kujia ni makusudi au kujiachia tu, angalia wanawake au wamama wenye madaraka au nyadhifa katika jamiii na wengine wenye kujiheshimu uone kama wanakuwa na muonekano huo wa kufedhehesha kwenye makalio.
Kingine, mnaponunua nguo za ndani epukeni zile zenye mapindo makubwa na zaidi muepuke kuvaa nguo za kubana kwani mnajiabisha na zaidi mnaaibisha na wenzenu wanaojiheshimu.
Wee, rudi kijijini kwenu ukafungue msikiti tuachie mji wetu.
Mkuu kama una kitu kina kuweka bize, kina shughurisha ubongo wako, hayo Mambo ya pindo za, chupi za, wanawake, hayawezi, kukusumbua, sio jambo LA ajabu, vitu vya kawaida sanaWanawake wenye kujiheshimu, huwezi ona amevaa nguo ambayo akitembea na wakati mwingine hata akiwa amesimama, nguo ya ndani (pindo) zinajichora mpaka inakua albu kumtazama.
Mimi naamini huwa wanajiona kwenye vioo ila kwa akili zao baadhi wanaona ni sawa tu au ni sehemu ya kuongeza mvuto kitu ambacho si kweli.
Ukitaka kujia ni makusudi au kujiachia tu, angalia wanawake au wamama wenye madaraka au nyadhifa katika jamiii na wengine wenye kujiheshimu uone kama wanakuwa na muonekano huo wa kufedhehesha kwenye makalio.
Kingine, mnaponunua nguo za ndani epukeni zile zenye mapindo makubwa na zaidi muepuke kuvaa nguo za kubana kwani mnajiabisha na zaidi mnaaibisha na wenzenu wanaojiheshimu.
Kero na fedheha tupu.Ulikua unaangalia nini hadi kuona hizo pindo za chupi? Ungeinamisha macho yako chini wala usingeweka huu uzi.
Hahaaaaaa, ukipiga zako ya mtumba huna wasiwasi unaionesha tu mtaani. Maisha haya.Duuh asa chupi nayo ni kitu ya kumgombezea mtu 🤔
Fahari ya macho sweetheart...
Kabiiiiiiiiiisa.. Kumbe nawe umeona ehhh. Fahari ya macho haifilisi dukaFahari ya macho sweetheart...
Nimekuoa wewe sweetheart.. you are my wife..Kabiiiiiiiiiisa.. Kumbe nawe umeoa ehhh. Fahari ya macho haifilisi duka
Typing error love lol hahahaha!Nimekuoa wewe sweetheart.. you are my wife..
Hahahaha Kuna kigauni fulani hivi ukinivaliaga... Aisee... I like mh!! Okay...Typing error love lol hahahaha!
I meant ungeona sio kuwowa ! I know Wa kuniwowa ni mie tu hakuna mwingine 💋!
Kuna materials za nguo sio poa lov unakuta zinachora balaa
Nyingine za kuvaa sehemu maalumu na partner wako sasa wengine wanavaa tu kwenye halaiki doh🤠🤠!Hahahaha Kuna kigauni fulani hivi ukinivaliaga... Aisee... I like mh!! Okay...
That is businessWanawake wenye kujiheshimu, huwezi ona amevaa nguo ambayo akitembea na wakati mwingine hata akiwa amesimama, nguo ya ndani (pindo) zinajichora mpaka inakua albu kumtazama.
Mimi naamini huwa wanajiona kwenye vioo ila kwa akili zao baadhi wanaona ni sawa tu au ni sehemu ya kuongeza mvuto kitu ambacho si kweli.
Ukitaka kujia ni makusudi au kujiachia tu, angalia wanawake au wamama wenye madaraka au nyadhifa katika jamiii na wengine wenye kujiheshimu uone kama wanakuwa na muonekano huo wa kufedhehesha kwenye makalio.
Kingine, mnaponunua nguo za ndani epukeni zile zenye mapindo makubwa na zaidi muepuke kuvaa nguo za kubana kwani mnajiabisha na zaidi mnaaibisha na wenzenu wanaojiheshimu.