lindunduru
JF-Expert Member
- Aug 2, 2015
- 392
- 553
- Thread starter
-
- #41
Ndivyo ilivyo mkuu, utaishi maisha marefu sana kama usipotaka kujua mkeo anafanyaga nini akiwa mbali na wewe. Ubaya tu asiwe na kiburi. Ila pia nawewe usijinyime, cheza gemu za kindiki kwa step, piga ukipata nafasi ila usijisahau uendelee kumuheshimu mkeo.
nani wa kutufunza tupe mwanga kidogoNdugu Zangu Mjifunze Kuchagua
Ukikua utatia akili, inaonekana bado mtoto
[emoji3][emoji3] hujambo ChaliiTuwekane sawa kidogo
Ni "EX" na sio "X"
Sasa kwa hii namba ya 50+ sio mwaka haipiti hata mwezi hujakutana na ex akakutunukupole sana hii ndo shida ya kuwa na x wachache.
watu wana x 50+ huwez maliza mwaka ujakutana hta na x wa2
Hawa watoto ni wapuuzi sana....unaweza kuwapenda lakin wakakuona boya...!!juzi juzi ameanza kujileta..!!namkamua hlf nampotezea tena.....staki mazoeaHahah ulitumia mahasira sana
Mm ni kinyume chake, mke wa mtu akijipendekeza huwa sipepesi macho.Na moja ya sheria zangu.. sitok na mke wa mtu hata kama alikuwa demu wangu huko nyuma