Wanawake hamuwezi kuachana na Ma Ex wenu?

Wanawake hamuwezi kuachana na Ma Ex wenu?

Hawa watoto ni wapuuzi sana....unaweza kuwapenda lakin wakakuona boya...!!juzi juzi ameanza kujileta..!!namkamua hlf nampotezea tena.....staki mazoea

Sent using Jamii Forums mobile app
Nashangaa hata kwanini bibilia ilisema tuwapende maana hawapendeki. The moment umeanza onesha true colors of love ndio hapo hapo unapigiwa! Umefanya kitu sahihi, akijileta gonga ishia zako...no mazoea na pimbi!
 
It takes two to TANGO 😎

Habari ndugu zangu,Poleni na mihangaiko ya kuhangaikia mikate yenu ya kila siku kuhakikisha Familia zenu zinapata mikate ya kila siku.

Narudi kwenye Mada Nina evidences zaidi ya 10 naona wake za watu wanapokutana na ma ex wao wanashindwa kujizuia, Jamaa wanang'oa tu kilaini, na wakati mwingine hawa wanawake ndiyo wanajichekesha wenyewe kuonesha wanataka kitu kutoka kwa hao ma ex wao.

Nachelea kusema nakibaliana na jamaa mmoja humu aliwahi kusema nanukuu "ukioa mwanamke amabaye siyo bikra basi umeoa mke wa mtu.

Sasa ndugu zangu nipeni mawazo maana nahisi naelekea kutowaamini wanawake akiwemo mke wangu maana naye yumo

Karibuni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
As a woman I contribute! Wanawake wengi wajinga achana na x unaweza mnunulia gari mkeo na akang'olewa na mshkaji anayeweka mafuta au kuosha gari.
Tuna ka akili Fulani ka kijinga ambako kanapelekea hizi mambo kuhappen! Yaan mwanamke akizaa au akitembea na mtu anadhan katembea na dunia anaacha uhalali wa mtu huyo kurejea mda wowote akipenda...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
As a woman I contribute! Wanawake wengi wajinga achana na x unaweza mnunulia gari mkeo na akang'olewa na mshkaji anayeweka mafuta au kuosha gari.
Tuna ka akili Fulani ka kijinga ambako kanapelekea hizi mambo kuhappen! Yaan mwanamke akizaa au akitembea na mtu anadhan katembea na dunia anaacha uhalali wa mtu huyo kurejea mda wowote akipenda...

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah kumbe kweli, sasa muachage maujinga hayo!
 
Hahahahaaa ndo kilichobaki....siku hizi nna moyo baridi...sinaga haata ham nao
Nashangaa hata kwanini bibilia ilisema tuwapende maana hawapendeki. The moment umeanza onesha true colors of love ndio hapo hapo unapigiwa! Umefanya kitu sahihi, akijileta gonga ishia zako...no mazoea na pimbi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ndoa ililazimishwa na yeye hakuridhia basi ujue wakikutana watapasha kiporo. True love huws haifi..
Hiyo kitu nimeshuhudia sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakunaga cha true love huwa ni kutokujitambua tu kwa mwanamke, lets say alimkimbia kwa sababu ya uchumi akaona anachelewa then umeanza kupata visent anarudi nado useme alikupenda,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom