Wanawake hamuwezi kuachana na Ma Ex wenu?

Wanawake hamuwezi kuachana na Ma Ex wenu?

Habari ndugu zangu,Poleni na mihangaiko ya kuhangaikia mikate yenu ya kila siku kuhakikisha Familia zenu zinapata mikate ya kila siku.

Narudi kwenye Mada Nina evidences zaidi ya 10 naona wake za watu wanapokutana na ma ex wao wanashindwa kujizuia, Jamaa wanang'oa tu kilaini, na wakati mwingine hawa wanawake ndiyo wanajichekesha wenyewe kuonesha wanataka kitu kutoka kwa hao ma ex wao.

Nachelea kusema nakibaliana na jamaa mmoja humu aliwahi kusema nanukuu "ukioa mwanamke amabaye siyo bikra basi umeoa mke wa mtu.

Sasa ndugu zangu nipeni mawazo maana nahisi naelekea kutowaamini wanawake akiwemo mke wangu maana naye yumo

Karibuni

Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa hao x za wanawake Ni wanawake wenzao??

Si Ni wanaume ambao na nyie hamuachani na Max wenu...

Sijui nimeeleweka

Tuacheni kunyoshea vidole wanawake tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm nina rule moja. Huwa sili wake za watu. Huo msimamo wangu toka zaman.
Huwa najiwekwenye viatu vya mwanaume mwenzangu.. ananyojikunja kwa jasho,huenda kuwa anafanya kazi zakudharaulika ananyeshewa na mvua.. ili mke apendeze, apate kula vizur..
Halaf leo hii aliwe kilain.. moy unanisuta sana. That not a right way.
Mm wangu nitamps uhuru.. akiliwa nje nitajua tu na nikijua ni kibut... sinaga games na maisha
wewe acha tu.niamini Mimi wenzio wanakula mpaka vyako
kama vipi na we we kula tu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Scenario uliyoisema hapo ni tamaa. Ila nikwambie tu kuwa mkuu ni wachsche wapewa utashi wa kuzuia hiyo hali. Wengi huws wanajiendekeza sana ndio maana wnaliwa
Hakunaga cha true love huwa ni kutokujitambua tu kwa mwanamke, lets say alimkimbia kwa sababu ya uchumi akaona anachelewa then umeanza kupata visent anarudi nado useme alikupenda,

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom