Nashangaa hata kwanini bibilia ilisema tuwapende maana hawapendeki. The moment umeanza onesha true colors of love ndio hapo hapo unapigiwa! Umefanya kitu sahihi, akijileta gonga ishia zako...no mazoea na pimbi!Hawa watoto ni wapuuzi sana....unaweza kuwapenda lakin wakakuona boya...!!juzi juzi ameanza kujileta..!!namkamua hlf nampotezea tena.....staki mazoea
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari ndugu zangu,Poleni na mihangaiko ya kuhangaikia mikate yenu ya kila siku kuhakikisha Familia zenu zinapata mikate ya kila siku.
Narudi kwenye Mada Nina evidences zaidi ya 10 naona wake za watu wanapokutana na ma ex wao wanashindwa kujizuia, Jamaa wanang'oa tu kilaini, na wakati mwingine hawa wanawake ndiyo wanajichekesha wenyewe kuonesha wanataka kitu kutoka kwa hao ma ex wao.
Nachelea kusema nakibaliana na jamaa mmoja humu aliwahi kusema nanukuu "ukioa mwanamke amabaye siyo bikra basi umeoa mke wa mtu.
Sasa ndugu zangu nipeni mawazo maana nahisi naelekea kutowaamini wanawake akiwemo mke wangu maana naye yumo
Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijambo dada, mbona wewe sijaona jibu lako juu ya hii mada
Mzee baba naona unaulizia lips za mtoto hapo hahahah inaweza kuwa sababu ya mapenzi ya kweli hiiMzee mama huo u lips ni wa kwako hapo dp?
Napenda sana lips nene sana. Zinanikosha, its the first thing i notice kwa mremboMzee baba naona unaulizia lips za mtoto hapo hahahah inaweza kuwa sababu ya mapenzi ya kweli hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Napenda sana lips nene sana. Zinanikosha, its the first thing i notice kwa mrembo
Huenda wamegusa man. Nimetia maskio na macho pamba maana kufatilia ni ugomvi tu utatokea. Nimeamua namm nile njiani!
Mimi mpenzi msomajiSijambo dada, mbona wewe sijaona jibu lako juu ya hii mada
Hahahah kumbe kweli, sasa muachage maujinga hayo!As a woman I contribute! Wanawake wengi wajinga achana na x unaweza mnunulia gari mkeo na akang'olewa na mshkaji anayeweka mafuta au kuosha gari.
Tuna ka akili Fulani ka kijinga ambako kanapelekea hizi mambo kuhappen! Yaan mwanamke akizaa au akitembea na mtu anadhan katembea na dunia anaacha uhalali wa mtu huyo kurejea mda wowote akipenda...
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashangaa hata kwanini bibilia ilisema tuwapende maana hawapendeki. The moment umeanza onesha true colors of love ndio hapo hapo unapigiwa! Umefanya kitu sahihi, akijileta gonga ishia zako...no mazoea na pimbi!
Hakunaga cha true love huwa ni kutokujitambua tu kwa mwanamke, lets say alimkimbia kwa sababu ya uchumi akaona anachelewa then umeanza kupata visent anarudi nado useme alikupenda,Kama ndoa ililazimishwa na yeye hakuridhia basi ujue wakikutana watapasha kiporo. True love huws haifi..
Hiyo kitu nimeshuhudia sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimependa hapo mwishoni tuNami nikuulize ulipomuo huyo ukakuta tayari ulimuuliza nini kilikupelekea mpaka akaitoa bila ndoa
Maendeleo hayana chama
Kumbe Mama Gifti ulimuoa bikra? Mbona kama alikuwa ashabanduliwa tayari?
Napita lakini
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi pia sigusi mama ya mtu kama ambavyo sitaki yangu iguswe. Im very straight on that.