Wanawake hatari zaidi hapa Bongo

Wanawake hatari zaidi hapa Bongo

Mmakonde alikwama pakubwa sana
Kabaki na moja na jishangazi likavuna moja ila kafilisiwa kiuchumi na kiakili, kabaki kulialia kwamba anadhulumiwa baada ya kubaini acc inasoma negative(yaani madeni ni mengi zaidi ya kipato). Hiyo mishangazi ya town kwa dogo wa kijijini ndanindani kama yule asiyejua maisha ya town lazima yamnyonye, jimama ni mumiani linanyonya mpaka damu ndiyo maana dogo kapoteza direction.
Isingeukuwa kunachanganyikiwa na lile nyonya damu hata label isingekufa kiboya namna ile, budget ya kuendesha label iliishia kumridhisha mama wa town.
Dogo anachofurahisha ni ile kujitutumua lakini angekuwa kazaliwa na kukulia town asingefilisiwa kifala namna ile.
 
Anti ndio alitakiwa awe namba moja halafu namba mbili awe sepetu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aunt ni dangaji la kimya kimya, ila kwa vibenten ndo anaweka wazi.
 
Lulu kaanza kuliwa tangu yuko 4m 1, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Coca huwa nasikia alikuwa anafanya umalaya wa kujiuza baa kabisa, kuna ukweli kwenye hilo
 
Back
Top Bottom