Wanawake hatupendi wanaume wazuri wala wavaaji sana

There is no clear definion abt what do really women want! Kaz IPO kwa kweli!
 
Ndo uanaume, mvaa sana na mjipodoaji sana huwaza kuvutia tu, wakati mvaa kawaida huwa bize na kubeba na kutimiza majukumu, wavulana ndo hujipodoa, wanaume tunawaza meeeengi ntapata wapi muda wa kukaa kwe dressing table
Aah sana, huo muda wa kujipara ni wa vijana wauza sura
 
Taratibu dada hata sisi binadamu tumeumbwa na Mungu huyo huyo.
 
Taratibu dada hata sisi binadamu tumeumbwa na Mungu huyo huyo.
Ni kweli kaka ila kwani uongo? Mbona nyie mnatusemaga pia. Kama kuna mzuri kwanin asiwepo na mbaya?
 
Miss chaga njoo huku umwambie Mdogo wako wanawake wanataka nn sio kwa hili aliloandika
 
Rudia kusoma uzi upya
Kwa utulivu
Nadhani nimeusoma vyema!!si kwamba nipo upande wa hao wapiga pamba la hasha!!ila nasema kuvaa kwa mwanaume inategemea na shughuli anayofanya!!

Wengi wanaojipodoa podoa n wasanii wana wanawake wanaopenda watu wa design hiyo!!Kila mwanamke ana aina ya mwanaume anayemtaka.

My point is kupiga pamba na kunukia haina uhusiano na kumridhisha mtu kitandani!!Wapo wwnye sura kauzu lakini maboya.
 
Mimi naona kuna vitu umevieleza sawa!!ila vingine vinaleta ukinzani.Mwanaume asipake deodarant kuna anayevuja jasho je shati lake liweke majasho kwa kwapa ndyo anavutia!!
Point ingekuwa wafanye kwa kiasi...isipitilize kama ulivyoeleza.Ila mifano yako sikubaliani nayo.
 
Chunguza Sana wanaume tunakaharufu kakiume, Wapo wajawazito hushinda na mashati ya Waume zao kuwauliza utaskia napenda harufu ya jasho lako
[emoji87] [emoji23] [emoji23]
 
Mbona aaahgggghhh,wanawake wengine utasikia napenda mwanamme anaejipenda na kupiga pamba!!sasa na wewe Mara sijui hivi jamani ehee
 
hawa viumbe bana, wanapenda tuwe wasaf af wachaf, warefu af wafup, tuwe na hela af tucwe nazo, wakal af wapole, wanene af wembamba, wazur af tuwe na sura mbaya, tupendeze af tucpendeze duu, kama mung akuwaridhsha je? mwanaume ataweza?
Imenifikirisha sana hii ya "KAMA MUNGU HAKUWARIDHISHA, JE SISI WANAUME NDIO TUTAWARIDHISHA?"

Kumbe ndio maana minywele bandia, rangi bandia, boots bandia na hata akili siku hizi wengi wanazipata salon!
 
Nahisi una mimba si bure. Mana mwanamke akiwa na mimba hata arufu ya petroli kwake arufu safii na arufu ya pafyumu ikawa Keri kwake
Naona hii post inakuhusu sana. Yaani wewe ni mmoja wa wauza sura wa mjini. Bila mimba usingezaliwa licha ya matatizo wanayopata mama zetu. Kwahiyo tuwe na heshima kwa waliotuzaa please?
 
Naona hii post inakuhusu sana. Yaani wewe ni mmoja wa wauza sura wa mjini. Bila mimba usingezaliwa licha ya matatizo wanayopata mama zetu. Kwahiyo tuwe na heshima kwa waliotuzaa please?
[emoji7] [emoji7] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
 
Naona hii post inakuhusu sana. Yaani wewe ni mmoja wa wauza sura wa mjini. Bila mimba usingezaliwa licha ya matatizo wanayopata mama zetu. Kwahiyo tuwe na heshima kwa waliotuzaa please?
Nshakupenda walah[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…