mjusikenge
Member
- Oct 26, 2016
- 70
- 37
Ngoja nianze kuwa mchafu mchafu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah kumbe mkuu maana nimekuwa na wasiwasi sanaa kuwa huyu bibie atakuwa na shida fulani kumbe wew tayari umeshambambaAcha kupotosha jamii ya kike nchini. Umri umekupita na umekuwa Jamvi la wageni maana kila ID ninayotumia kutafutia mademu humu either kwa gia ya kuoa hukosekani PM....sura nzuri ni maajaliwa na hakuna asiyeipenda kwa jinsia zote, acha kujustfy lisura lako, coz you won't feel any better. Uvaaji ni utashi wa mtu na ni kitu muhimu kama unataka jamii ikutendee lolote hata kukupa mke bure. Ajuza mkubwa wewe. Gym ndio kashakuwa mmeo na kale ka ticha uzuri hakanaga time na vibonge
Na sisi tukiwapata tunawachuna.tutawachuna tu tunasepa
Thanks young lady...am working onvyour ingredients soon or later you will be by my side....Honestly,mwanaume ambaye ananuka Ni TURNOFF..hata wanaume sdhan Kama wa wanapenda mwanamke anayenuka.
Ofcuz personally napenda a hint of some natural smell.Depends though.
Nadhani mleta mada alimaanisha kwamba kuwa too smart is not what women fall for.She is right.Kuwa msafi,usinuke,hata Kama u are a bit rough..ila kuwa msafi.Dont over dress(what for?).Chomekea shati vizuri when u are supposed to.Tuck out if and when u are supposed to.Right thing at the right place,[emoji6]and that's how u get the right girl.
Mbona husomeki wewe ni mke, mume au katikati?watu wanaoooga utadhani wanalipwa bwana
kila mwanamke ana preference zake, hii thread ungeandika kuwa ww unapenda wanaume wa type hii, sio kusema wanawake (ume generalize sana). and for the info. situmii carolight.
nyie mashoga endeleeni kujifariji nani anawataka nyie hata hela ya toilet pepa ya kuchambia hamna mfyuuuu !Daah kumbe mkuu maana nimekuwa na wasiwasi sanaa kuwa huyu bibie atakuwa na shida fulani kumbe wew tayari umeshambamba
Kabla ya yote..Picha haihusiani na story ni mfano tu wadau!
Mungu alituumba wanawake na roho nyepesi na huruma sana, tupo simple sana sema wanaume mmefanya dunia kuwa sehemu ngumu ya kuishi.
Niwapeni siri, wewe mwanaume hata uwe tajiri kiasi gani na hela za kuhonga kiasi gani kama wewe una sura nzuri halafu unapenda sana kupigilia pamba yaani ile unajipenda penda sana ni nadra sana kupata mwanamke makini wa kukupenda na kukufurahia hata uwe bilionea wanawake wengi tunapenda wanaume wenye sura isiyoelezeka na anaevaa kiume standard. Standard namaanisha kama ni kazini utamkuta na nguo za kazini za kawaida shati safi mikono mirefu kachomeka na kiatu cha kudumbukiza fresh.
Siku za kawaida jeans na tshirt na raba au sendoz, mwanaume anaenukia marashi yake kwa mbaali plus kikwapa cha mbaali hadi nyege zinakupanda si mnajua tena kwapa la mwanaume linamtoa nyoka pangoni? Na nywele zake kazinyoa tu kawaida.
Siku hizi nashangaa unakutana na mwanaume kajilipualipua unajiuliza huyu akifumaniwa anaanza kuvaa nini?![]()
Yaani kaka zangu na wadogo zangu nawaambieni kama wewe ni mzuri jua tu mkeo au mpenzi wako yupo mahali anakojoleshwa na mwenye sura ya kiume. Wanawake ndo tulivyo tunapenda wanaume wenye sura mbaya na waliokaa rafu ili hata nguo tuwanunulie wenyewe na kuwapendezesha wenyewe. Mwanaume unajua kujipendezesha kila kitu unajua wewe kuvaa na kunukia ni ngumu kwa kweli utasaidiwa sana hata kama hela unayo.
So ni hivi acheni ndevu ziote ote acheni kulala saluni na harufu ya vikwapa tuisikie.
hilo swali langu au la miss natafuta? maana umetu quote wawili hapo. ila kama ni langu basi mm ni male.Mbona husomeki wewe ni mke, mume au katikati?