Wanawake hatupendi wanaume wazuri wala wavaaji sana

Wanawake hatupendi wanaume wazuri wala wavaaji sana

Unavyo waza ww... sio wanavyowaza wengine. Kila mtu ana vigezo vyake kwenye suala la mapenz.. wengien wanapenda wanaume watanashati.. wengine wanapenda mahandsome.. huku wengine wanapenda sura mbaya... wengine wanapenda vibami ..wkt wengine wanapenda mihogo mikubwaaaa..
 
Acha kupotosha jamii ya kike nchini. Umri umekupita na umekuwa Jamvi la wageni maana kila ID ninayotumia kutafutia mademu humu either kwa gia ya kuoa hukosekani PM....sura nzuri ni maajaliwa na hakuna asiyeipenda kwa jinsia zote, acha kujustfy lisura lako, coz you won't feel any better. Uvaaji ni utashi wa mtu na ni kitu muhimu kama unataka jamii ikutendee lolote hata kukupa mke bure. Ajuza mkubwa wewe. Gym ndio kashakuwa mmeo na kale ka ticha uzuri hakanaga time na vibonge
Daah kumbe mkuu maana nimekuwa na wasiwasi sanaa kuwa huyu bibie atakuwa na shida fulani kumbe wew tayari umeshambamba
 
Honestly,mwanaume ambaye ananuka Ni TURNOFF..hata wanaume sdhan Kama wa wanapenda mwanamke anayenuka.
Ofcuz personally napenda a hint of some natural smell.Depends though.
Nadhani mleta mada alimaanisha kwamba kuwa too smart is not what women fall for.She is right.Kuwa msafi,usinuke,hata Kama u are a bit rough..ila kuwa msafi.Dont over dress(what for?).Chomekea shati vizuri when u are supposed to.Tuck out if and when u are supposed to.Right thing at the right place,[emoji6]and that's how u get the right girl.
 
Miss natafuta vp kwema huko,nilikua napita ila nachungulia kidogo
 
Unatuingiza chaka ili tuwakose...walah me ntaendelea kujiweka poa silaha hii imenipa ushindi mara kibao ila the opposite ya kusema niwe rough eti ndio ntangoa miss sifuati ushauri huo[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Hujalijua tatizo lako, you seems to be very inferior ukijilinganisha na a such kind of man..
Ndivyo ilivyo hata kwa men, kila mtu huwa anapenda na kuvutiwa na level zake.

Unaweza kukuta man anasema ye hapendi kabisa mwanawake wenye nywele ndefu, unajua kwa nini hapendi? hata yeye hajui..! ila jibu ni kwamba mawazo ya haraka yamemuijia namna huyo mwanamke anavyotumia muda mwingi kuhudumia hizo nywele na gharama ya kuzitunza, mwisho wa siku amajikuta tu anachukia wanaweke wa hivyo.

Miss unasema unapenda wewe ndio umpendezeshe mwanaume, sio umkute yeye ni wa kupendeza tu, .... Huu ni uoga juu ya mwanaume wa namna hii kwamba unahisi unajua vitu vingi about fashion na huna cha kumfindisha, kila mtu anapenda awe na cha kumfundisha love mate wake. Kama yuko vizuri upande wa fashion basi tafuta kamshikie upande wa mapishi. Value yourself kwamba you can have and handle any kind of man.
 
Labda wewe naomba usijumlishe humo pulizz sema baadhi ya wanawake
 
Binafsi napenda mwanaume mzuri avae vizuri asipojua nitamfundisha awe smart na kingine ajue usafi na kazi za nyumbani. Elimu sijali sana lakini awe business man au private sector sio mwajiriwa serikalini. Ajue kuitafuta pesa na kutumia kwa akili. Thus y napenda wachaga tu luckly enough nimempata mwenye sifa hizo. I'm blessed indeed[emoji120]
 
Pia anukie vizuri sana manukato ya bei kali ili harufu yake iwe unique. So sema tu baadhi dear. Tena wangu ana macho mazuri na dimpoz juu..
 
Mi harufu ya kwapa sitaki kabisa kuisikia ,na nnapenda wanaume wazuri nikiwa nao kitandani nafeel nipo na mwanaume haswa akiwa na zile muscles huwa napata hamu zaidii
 
Honestly,mwanaume ambaye ananuka Ni TURNOFF..hata wanaume sdhan Kama wa wanapenda mwanamke anayenuka.
Ofcuz personally napenda a hint of some natural smell.Depends though.
Nadhani mleta mada alimaanisha kwamba kuwa too smart is not what women fall for.She is right.Kuwa msafi,usinuke,hata Kama u are a bit rough..ila kuwa msafi.Dont over dress(what for?).Chomekea shati vizuri when u are supposed to.Tuck out if and when u are supposed to.Right thing at the right place,[emoji6]and that's how u get the right girl.
Thanks young lady...am working onvyour ingredients soon or later you will be by my side....
 
Daah kumbe mkuu maana nimekuwa na wasiwasi sanaa kuwa huyu bibie atakuwa na shida fulani kumbe wew tayari umeshambamba
nyie mashoga endeleeni kujifariji nani anawataka nyie hata hela ya toilet pepa ya kuchambia hamna mfyuuuu !
 
Kabla ya yote..Picha haihusiani na story ni mfano tu wadau!

Mungu alituumba wanawake na roho nyepesi na huruma sana, tupo simple sana sema wanaume mmefanya dunia kuwa sehemu ngumu ya kuishi.

Niwapeni siri, wewe mwanaume hata uwe tajiri kiasi gani na hela za kuhonga kiasi gani kama wewe una sura nzuri halafu unapenda sana kupigilia pamba yaani ile unajipenda penda sana ni nadra sana kupata mwanamke makini wa kukupenda na kukufurahia hata uwe bilionea wanawake wengi tunapenda wanaume wenye sura isiyoelezeka na anaevaa kiume standard. Standard namaanisha kama ni kazini utamkuta na nguo za kazini za kawaida shati safi mikono mirefu kachomeka na kiatu cha kudumbukiza fresh.

Siku za kawaida jeans na tshirt na raba au sendoz, mwanaume anaenukia marashi yake kwa mbaali plus kikwapa cha mbaali hadi nyege zinakupanda si mnajua tena kwapa la mwanaume linamtoa nyoka pangoni? Na nywele zake kazinyoa tu kawaida.
Siku hizi nashangaa unakutana na mwanaume kajilipualipua unajiuliza huyu akifumaniwa anaanza kuvaa nini?
17494570_1709586272673470_7269433054165204992_n-jpg.492777

Yaani kaka zangu na wadogo zangu nawaambieni kama wewe ni mzuri jua tu mkeo au mpenzi wako yupo mahali anakojoleshwa na mwenye sura ya kiume. Wanawake ndo tulivyo tunapenda wanaume wenye sura mbaya na waliokaa rafu ili hata nguo tuwanunulie wenyewe na kuwapendezesha wenyewe. Mwanaume unajua kujipendezesha kila kitu unajua wewe kuvaa na kunukia ni ngumu kwa kweli utasaidiwa sana hata kama hela unayo.

So ni hivi acheni ndevu ziote ote acheni kulala saluni na harufu ya vikwapa tuisikie.

Ha ha haaa!! Nimecheka sana aisee. Hivi kumbe harufu ya kwapa nayo inaleta nyege? Hii ni kali ya mwaka.
 
Mh,sio kwamba umeshaingia mkenge kwa hiyo umebakia kujipa moyo kuwa wanawake wote wako kama wewe....?
 
Back
Top Bottom