Wanawake hatupendi wanaume wazuri wala wavaaji sana

That is ur personality dnt attribute certain irrationals for others.....ur not of the same behavior n personalities.....Consider the comment pls.
 
Baby J unapenda nitoe harufu kama beberu?
 
Ndege wanaofanana huruka pamoja wanuka vikwapa na wachafu na Wasiojipenda huweza kuishi pamoja
 
Kuumbe doo haya miss natafuta asante kwa kuhakiki tulichokuwa tunahisi hisi
 
kwakweli miss hapo kwenye kunuka na kunukia pleaseeee. mi napenda kunukia. hata kwenye gari kuna makopo ya perfyum ana airfresh zaid ya moja. so please ongea yooote hilo la kunukia liruke
 
Good,ila kila mtu ana mtazamo wake
 
hawa viumbe bana, wanapenda tuwe wasaf af wachaf, warefu af wafup, tuwe na hela af tucwe nazo, wakal af wapole, wanene af wembamba, wazur af tuwe na sura mbaya, tupendeze af tucpendeze duu, kama mung akuwaridhsha je? mwanaume ataweza?
Ndo mana akasema tuishi nao kwa akili sana mana ni wadhaifu
 
Hahaha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] duuuh.. Hapa tutaambiwa wanawake kweli hatueleweki.. Mwingine anataka smart, mwingine anataka hivi...
 
Kwanza mwanaume mrembo mala nyingi hana hella maana awaxa kujilemba mda wote
 
Acha kupotosha jamii ya kike nchini. Umri umekupita na umekuwa Jamvi la wageni maana kila ID ninayotumia kutafutia mademu humu either kwa gia ya kuoa hukosekani PM....sura nzuri ni maajaliwa na hakuna asiyeipenda kwa jinsia zote, acha kujustfy lisura lako, coz you won't feel any better. Uvaaji ni utashi wa mtu na ni kitu muhimu kama unataka jamii ikutendee lolote hata kukupa mke bure. Ajuza mkubwa wewe. Gym ndio kashakuwa mmeo na kale ka ticha uzuri hakanaga time na vibonge
 
hahahahaa this thread has made my day...bt to some extent is true coz i already heard it several times from galz
 
sijasema usioge oga ila sio mwanaume unapaka deodorant,unapuliza tena body spray na pafyumu unanukia kuliko hata dada zako bna?
doh kn ck nlkua na appointment na demu yaan nlkua nanukia kushinda ht yeye mpk nikawa najishtkia
 
Kama vile Kuna ukweli maana siku nilimdaka demu wa Mtu na kufanya yangu eti kapenda harufu yangu inamsisimua na mm bila kujua wala kuelewa. Asante.miss umenifungua macho kwa nn demu wa Mtu kalambwa. Naaendeleza mchakato
 
ulishawai kuniona pm kwako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…