Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haipendezi mkuu tuache nature ifanye kazi yakeHata Mimi pia na mpenda demu ambaye yupo simpo si wale wanaovaa kila kitu cha bandia
ushampa mtu orgasm wewew?Hizo zote story mwanamke akiweza kupata bigg Orgasm akiwa na wewe ambayo stim yake ni kama stim anayopata mbwia unga wallah hata uvae gunia...yuko na wewe tuu.... Hata akufumanie mara elfu... Ye anasema nampenda hivo hivo
Ni suala la kisaikolojia zaidi. Mwanamke kuna vitu anahitaji kutoka kwa mtu anayemuita mume, kimojawapo ni ULINZI. That sense of being safe haipatikani kwa mwanaume wa kujiremba, sura nzuri na nyoro nyoro. Namna yako ya kuvaa na kuongea inaweza kumfanya mkeo aone kama anakaa na mwanamke mwenzake ndani.
Ni ukweli usiopingika kuwa, mwanamke hufurahishwa na ubandidu wa dume lake, kuanzia kwenye muonekano hadi kwenye mechi. Nyie jipodoeni tu kama wadada mkidhani mtapendwa kwa nguo zenu na manukato. Miss Natafuta leo umepiga ikulu
Una utani na mzee wa miwota(kigoc) nywele dawa, anatengenezwa kucha scrub ndo usipime.Mambo mengine ni mashauzi tu
hamna anayependa uchafu ila kwa mwanaume ukioga fresh ukapaka na mafuta yasiyo na chemicals u maintain ngozi ya asili na kuvaa normal ama standard, kuna shida gan?
Lakin mtu weekend yote unasuguliwa uso ukitoka hapo mtu unamuonea had huruma,.atahamia kwenye nywele apake dawa sjui...atatoka hapo ataenda duka la pamba kali ...surual za kubanaaa na vi t shirt vidogooo ...weekend hana time na mwenza wake...yeye anarembesha sura na kununua minguo ...duh
Mwanaume ameumba kufanya kazi,kua mlinzi wa familia,mwanaumbe kukaza msuli mwanaume ni kuwamsafi kiaina ila isipitilize kwana utakuta wengine..mikono haina tofauti ya ya miss tz.msafi mpaka anakelaa
Akija kwangu nampa jembe au nyundo akafanye kazi ili ajitofautishe na mwanamke mlembo
Ndo maana siku hizi idadi ya mashoga imeongezeka kwa kiasi kikubwa ukilinganisha na zama za nyerere na mwinyi..MWANAUME KAZI ndio mambo mengine yanafuate
mbona kuna uzi flan ulisema unapenda wanaume wanao nukiasijasema usioge oga ila sio mwanaume unapaka deodorant,unapuliza tena body spray na pafyumu unanukia kuliko hata dada zako bna?
You put us in what!! Alafu bado uko nasi, kwahiyo wote tuko kwa hiyo deep trash right? Basi hamnanga shida.nkianza kufkilia vile wangu anataka nn ntakuwanga nafanya change kila siku,leo atataka nipige pamba tena nguo ananchagulia , kesho kaona mtoko wa rafikie uko normal, ananipa matambala nivae eti utakuwa powa
*only my mam ndo huwanga namuamini akinambie umependeza au no , huwa na change but you dadaz put u on deep trash [emoji35] [emoji35]
Nina vingi vya kukufunza mtoto wa kike wewe.ahaaaa Mungu ameturidhisha sana usimsingizie Mungu
Kuna watu nasubiri maoni yao hapa.Duuuh!
You can never satisfy a woman.hawa viumbe bana, wanapenda tuwe wasaf af wachaf, warefu af wafup, tuwe na hela af tucwe nazo, wakal af wapole, wanene af wembamba, wazur af tuwe na sura mbaya, tupendeze af tucpendeze duu, kama mung akuwaridhsha je? mwanaume ataweza?
Kumbe unapenda hizi ndevu zangu kama brush ya chachandu!yaani mwanaume mwenye ndevu flani hivi rafu rafu ni mtamu balaa nyie hamjui tu .mnaondoa utamu wote