Wanawake hatupendi wanaume wazuri wala wavaaji sana

Hizo zote story mwanamke akiweza kupata bigg Orgasm akiwa na wewe ambayo stim yake ni kama stim anayopata mbwia unga wallah hata uvae gunia...yuko na wewe tuu.... Hata akufumanie mara elfu... Ye anasema nampenda hivo hivo
ushampa mtu orgasm wewew?
 

Team Sula ngumu tutawaona hapa
 
Una utani na mzee wa miwota(kigoc) nywele dawa, anatengenezwa kucha scrub ndo usipime.
 

Kwa hiyo kazi mpaka uponde kokoto?
 
sijasema usioge oga ila sio mwanaume unapaka deodorant,unapuliza tena body spray na pafyumu unanukia kuliko hata dada zako bna?
mbona kuna uzi flan ulisema unapenda wanaume wanao nukia
ukataja na Pafyum unayo penda!?
 
Haha so true ila asiwe rough sana mim sipend wanaume mabishoo sana unakuta mwanaume mzurii anavaa kitoz ananukia pafyum anamapoz flan hiv ya kulamba midomo na kushika katkat ya mapaja na kunyoa kiduku na macheni meeng yan nkiona mwanaume wa hvyo cjui namuonaje ata ctaki anisogelee
 
You put us in what!! Alafu bado uko nasi, kwahiyo wote tuko kwa hiyo deep trash right? Basi hamnanga shida.
 
All generalization is wrong

Sio wanawake wote wanapenda kama ulivyoandika hapo juu

Duu 'Vikwapa usikie'

Mi kwa kweli napenda mkaka msafi na mwenye sura nzuri japo awe na mambo/tabia za kiume

Kitandani haijalishi ni msafi au mchafu. Wapo watanashati kitandani wapo vizuri
Na wapo hao wagumu walio ovyo kitandani
 
Teh teh dada hicho kikwapa kinacho amsha genye vepeeee
 
True..Ah Ah Ah lianaume refu jeupe afu linajipenda sana suti kila rangi halivutii hata yan ukiliona no kusisimka kwanza utataman hata ukimbie ukidhan jini
 
Hizo sifa zilizltolewa nyingi zinapendwa na wanawake ambao ni ejigoo... mabinti wengi wanapenda akina kaka masharobaro,wanaojipulizia marashi,wanyoa vkduku etc.,wakishakua wakubwa tena baada ya kujeuhiwa sana,ndiyo wanaanza kupenda wanaume ambao siyo wakujiremba sana.
 
hawa viumbe bana, wanapenda tuwe wasaf af wachaf, warefu af wafup, tuwe na hela af tucwe nazo, wakal af wapole, wanene af wembamba, wazur af tuwe na sura mbaya, tupendeze af tucpendeze duu, kama mung akuwaridhsha je? mwanaume ataweza?
You can never satisfy a woman.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…