Kama huna pesa ndoa ni kama jahanamu, bora ukae mwenyeweTusiokuwa na hela tunalijua hilo.
Mkuu mbona we mkali, ila huyu food deficit aikataza kupendwa na mkeo. Isipo kua wanawake zetu paka akufaidi vizuri ndo akutangaze. Kwamba ana mme, 'women don't advertise poverty' kwao pesa ni strong kuliko mapenzi ya dhati.Inategemea na location, kuna mahali people are struggling even to eat afu unapeleka ujinga wako unataka kupendwa, leta resources kwanza brother, we re in a resource deficit out here.
Huyu anatamani hicho alicho chora kwenye mwili wake, katika saikoloji kuna kuna kitu kinaitwa indetification ni hali ya mtu kutaka kujitambulisha na mtu maarufu kama tajiri, mcheza mpira films star nk, hiyo ni stage ya ukuaji pia, wanawake wakishindwa kupata alivyo tegemea anaanza kutamaani watu maarufu na atawachora au kuwaweka kwenye profile zake.Mimi na lishangazi langu limenichora tatoo ya jina Tajiri kichwa kwenye mwili wake. Sasa na iyo mkuu tunaitaje?
Tunazungumzia wanaume walio oa sio walio olewa kama wewe?Mimi na lishangazi langu limenichora tatoo ya jina Tajiri kichwa kwenye mwili wake. Sasa na iyo mkuu tunaitaje?
Pole mkuu umewahi kumuuliza why au ulijua why from thenHii kweli kabisa wakati tupo chuo wife enzi hizo ana status kama mchumba wangu nilikuwa namuona kabisa hana confidence na mimi mbele za mashoga wake now kibao kimegeuka analazimisha kunitamburisha kwa ndugu na mashoga zake. Sema nini wakuu wanawake hawana huruma na broke nigga tuzisake kichizi maana aliezipata hata akifumaniwa haachwi. Sasa we masikini cheat alafu udakwe uone. Labda uwe umeoa mwanamke mweusi na asie na chura
Hebu weka bold hapo kwenye "mweusi n'a hana chura"Hii kweli kabisa wakati tupo chuo wife enzi hizo ana status kama mchumba wangu nilikuwa namuona kabisa hana confidence na mimi mbele za mashoga wake now kibao kimegeuka analazimisha kunitamburisha kwa ndugu na mashoga zake. Sema nini wakuu wanawake hawana huruma na broke nigga tuzisake kichizi maana aliezipata hata akifumaniwa haachwi. Sasa we masikini cheat alafu udakwe uone. Labda uwe umeoa mwanamke mweusi na asie na chura
Tunazungumzia wanaume walio oa sio walio olewa kama wewe?
Huyu anatamani hicho alicho chora kwenye mwili wake, katika saikoloji kuna kuna kitu kinaitwa indetification ni hali ya mtu kutaka kujitambulisha na mtu maarufu kama tajiri, mcheza mpira films star nk, hiyo ni stage ya ukuaji pia, wanawake wakishindwa kupata alivyo tegemea anaanza kutamaani watu maarufu na atawachora au kuwaweka kwenye profile zake.
Nilishawahi muuliza akasema niache kufukua makabuli yake nitamchukia nikaona ina make sense nikakaushaPole mkuu umewahi kumuuliza why au ulijua why from then
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Ukiwa na hela unajijua kwani?Kama huna pesa ndoa ni kama jahanamu, bora ukae mwenyewe
Kuna mahusiano yenye equal power ndo Mada ilipojikita hayo mahusiano ya mmoja kaonewa huruma ni magumu kuyadadavuaLakini nimelitokea mahari
Hela sio mizimu kusema kwamba ni nomino ya dhahaniaUkiwa na hela unajijua kwani?
Ok... Point yangu ili ujiite unahela unatakiwa uwe na sh ngapi, maana mimi binafsi sijawahi kujihisi kua na hela hata sikumoja, kila nikizipata nahisi nahitaji tena zingine zaidi ya nilizonazo..Hela sio mizimu kusema kwamba ni nomino ya dhahania