To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Hivyo yaan😘Hoja kama hizi bila ushahidi hazina mashiko.
Mapito yako binafsi hayatoshi kuelezea tabia ya kundi la watu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivyo yaan😘Hoja kama hizi bila ushahidi hazina mashiko.
Mapito yako binafsi hayatoshi kuelezea tabia ya kundi la watu.
Acha bna mpka mama tenaHabari za weekend wana Jamiiforums i hope wote wazima kabisa..
Najua watu wengi mpo closed na wazazi wenu ilo ni vizuri sana ni baraka tosha sana kuwa karibu na mzazi unamwambia vitu vyako vingi na ni mshauri kwako hasa hawa wazazi wetu wakina mama.
Ila kijana ni marufuku tena ni marufuku kushare siri zako kwa mwanamke hata kama ni mama yako mzazi usimwambie bora ufe nazo.
Hata mama yako ana mshauri wake utakavyo muomba ushauri wa magumu yako au kumweleza siri zako tambua ujue na yeye ataenda kwa mshauri wake kumweleza kila kitu.
Baba zetu tunajua ni magumu mengi mnapitia kuna muda unashindwa kuvumilia kutunza siri zako ila usimwambie mke wako bora ufe nazo.. Wanawake hawatunzi siri hawa
Note:
Zingatia hilo mkuu wanawake wengi sio watunza siri hata kama anakupenda vipi ukimwambia siri zako au mapungufu yako umeisha.
Sio wanawake wote wako hivyo kuna wengine wana moyo wa kipekee sana 8/10%
Habari za weekend wana Jamiiforums i hope wote wazima kabisa..
Najua watu wengi mpo closed na wazazi wenu ilo ni vizuri sana ni baraka tosha sana kuwa karibu na mzazi unamwambia vitu vyako vingi na ni mshauri kwako hasa hawa wazazi wetu wakina mama.
Ila kijana ni marufuku tena ni marufuku kushare siri zako kwa mwanamke hata kama ni mama yako mzazi usimwambie bora ufe nazo.
Hata mama yako ana mshauri wake utakavyo muomba ushauri wa magumu yako au kumweleza siri zako tambua ujue na yeye ataenda kwa mshauri wake kumweleza kila kitu.
Baba zetu tunajua ni magumu mengi mnapitia kuna muda unashindwa kuvumilia kutunza siri zako ila usimwambie mke wako bora ufe nazo.. Wanawake hawatunzi siri hawa
Note:
Zingatia hilo mkuu wanawake wengi sio watunza siri hata kama anakupenda vipi ukimwambia siri zako au mapungufu yako umeisha.
Sio wanawake wote wako hivyo kuna wengine wana moyo wa kipekee sana 8/10%
[emoji1787][emoji1787]Aaah hata nyie hamtunzi bwana msitusingizie[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe umeshindwa kukaa na siri yako why unilaumu mimi jamani!! Sasa mimi ni nani hata nikae nayo?
Ila wanatunza Siri za kutoa mbwa nje na kukubambikia mtotoHabari za weekend wana Jamiiforums i hope wote wazima kabisa..
Najua watu wengi mpo closed na wazazi wenu ilo ni vizuri sana ni baraka tosha sana kuwa karibu na mzazi unamwambia vitu vyako vingi na ni mshauri kwako hasa hawa wazazi wetu wakina mama.
Ila kijana ni marufuku tena ni marufuku kushare siri zako kwa mwanamke hata kama ni mama yako mzazi usimwambie bora ufe nazo.
Hata mama yako ana mshauri wake utakavyo muomba ushauri wa magumu yako au kumweleza siri zako tambua ujue na yeye ataenda kwa mshauri wake kumweleza kila kitu.
Baba zetu tunajua ni magumu mengi mnapitia kuna muda unashindwa kuvumilia kutunza siri zako ila usimwambie mke wako bora ufe nazo.. Wanawake hawatunzi siri hawa
Note:
Zingatia hilo mkuu wanawake wengi sio watunza siri hata kama anakupenda vipi ukimwambia siri zako au mapungufu yako umeisha.
Sio wanawake wote wako hivyo kuna wengine wana moyo wa kipekee sana 8/10%
Ila mkibambika mimba makoromea yanakuwepoHatukuumbwa na makoromeo tunajikuta maneno yanapenyeza tu....
Endelea kujidanganyaMama woote huficha siri za watoto wao labda asiyetunza siri zako ni mama yako pekee
Siri zake ni Siri Ila Siri zako kwake sio Siri ni mdahalo kwa hio lazima atatafuta wachangiaji awaelezee ili wajue jinsi ya kukusaidia maana wewe unaona ni Siri yako Ila yeye ukimwambia inakua sio Siri ni tatizo la mwanae au mumewe, jiulize yeye ameshawahi kukwambia Siri zake za ndani mfano Siri yake ya Mwanaume aliewahi kumgegeda kwa mara ya kwanza na kumtoa bikra alishawahi kukwambia?wanawake wengi sio watunza siri