Wanawake hebu kuweni makini na ikulu zenu kama kukiwa na harufu inakata mzuka wote

Ile harufu ya k sielewagi niifananishe na nn, mzoga sio mzoga na maiti sio maiti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na mwanamke akijua anaenda kuliwa lazima ajiandae. Na hata kama ingekuwa kimasihara kama hivyo mwanamke yoyote wa kawaida angeomba kwanza kujimwagia maji ili ajiweke sawa.
 
Na mwanamke akijua anaenda kuliwa lazima ajiandae. Na hata kama ingekuwa kimasihara kama hivyo mwanamke yoyote wa kawaida angeomba kwanza kujimwagia maji ili ajiweke sawa
ile harufu hakuna kujiandaa

ile harufu hakuna kujimwagia maji wala baba yake maji
 
Na mwanamke akijua anaenda kuliwa lazima ajiandae. Na hata kama ingekuwa kimasihara kama hivyo mwanamke yoyote wa kawaida angeomba kwanza kujimwagia maji ili ajiweke sawa.
Kwa maelezo ya huyu mwamba huyo mrembo alikuwa broke.
Nafikiri alijaa stress pia.

Pili hatujui alivyobananishwa kwa pupa hadi akajisahau kuingia bafuni...japo kuna wapo hata akioga atatema tu
 
huyo dada namjua,jina lake linaanzia na S na kazi yake anauza K mitaa ya Airport na ana UKIMWI.
 
Kwa maelezo yake hajampa hata nafasi ya kuoga na hajui ametembea mchana kutwa kiasi gani.
Jamaa analaumu bure kwanini asingemwalika bafuni waoge kwanza?.

Mchafu ni mleta uzi...kuoga ni muhimu mno
Sahii kabisa,
Huenda binti mshamba katoka vijijini katembea MDA mrefu, na ukute jana Yake hajaoga na maji dodoma yalivo ya shida .

Umeingia umelipia hotel nzuri
Afu unaparamia hata bila kuoga
Huo Ni uzembe wa Hali ya juu



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni gono plus syphilis sijui nini na makorokocho yote yani. Nenda hospitali unapoteza muda kusogoa hapa
Binti nae mshamba,
Anajijua hajajiswafi uko chini
Anakubali vipi jamaa mpk azamishe hajaenda washroom kujisafisha.

Hapo jamaa kaokota TU binti wa vijijini, usikute alikua housegal wa mtu katumwa sokoni kajiokotea TU barabarani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na mwanamke akijua anaenda kuliwa lazima ajiandae. Na hata kama ingekuwa kimasihara kama hivyo mwanamke yoyote wa kawaida angeomba kwanza kujimwagia maji ili ajiweke sawa.
Hebu niondoke humu, kuanza siku na mada kama hii sio poa.

Siku njema kwako
 
Ukisema ubakaj unakosea,
Mishen za hivi zipo sana hasa kwa mtu ambae hatak kupotea MDA

Sema approach ya mleta mada na uyo mwanamke wake Ni ya kizembe na kishamba Sana

Mnaendaje hotelini mnavuana hata kuoga hamuogi?

Maana ake hata mashuka waliyapaka mavumbi, jasho lote la barabaran lilipakazwa kwenye mito ya hotel.

Huu Ni uchafu,
Mimi mwanamke yoyote hata tutoke tumeoga, Akishindwa kuoga pale hotel tunaachana pale pale.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na mwanamke akijua anaenda kuliwa lazima ajiandae. Na hata kama ingekuwa kimasihara kama hivyo mwanamke yoyote wa kawaida angeomba kwanza kujimwagia maji ili ajiweke sawa.
Sahii kabisa,
Na imezoeleka ukiingia na mwanamke kokote, breki ya kwanza Lazima aombe kwenda shower kujiweka sawa.

Huu ndo utaratibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngono yoyote isiyo na maandalizi mazuri ni ubakaji hata kama umeruhusiwa.
Mama Ted anakwambia ukichuma pera bichi na ukalila ni ubakaji.
Ubakaji sio lazima ule wa nguvu.

Maandalizi kuandaana kaka
 
Kwamba baadae utashindwa kula ukikumbuka harufu uliyosimuliwa? πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Kula nini kwa mfanoπŸ˜‚πŸ˜‚
Chakula?
Ngono? Hili sina ratiba yakeπŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…