Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Amen amen amen tenaNaanzaje kukucheka? Ni jambo zuri unapaswa kupongezwa umefanya maamuzi sahihi. Hallelujah!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amen amen amen tenaNaanzaje kukucheka? Ni jambo zuri unapaswa kupongezwa umefanya maamuzi sahihi. Hallelujah!
Mkuu demi embu nisaidie kujibu hili swali kama una jibu lake au ushawahi sikia maana nimejiuliza mara nyingiNaanzaje kukucheka? Ni jambo zuri unapaswa kupongezwa umefanya maamuzi sahihi. Hallelujah!
Mhh hata ukigusa mara moja si ndio imekuwa?Kumbe ulikuwaga mzinzi? Hata hufananii
Mmh Haruni uliyemkusudia naona umekwepa kumsemaHaruni ni ndugu yake Musa na Miriam, uzao wa Lawi
Jamaa kazingua sana
Hii sikupingi mwanangu, nishawahi kamata chura mmoja kwa mwendokasi asubuhi nikamseti jioni nikaenda kumvua, nilijiona mjanja kweli kesho yake nikaanza dozi ya gono, tuwe lakini vijana na kondomu ni muhimu.Gonjwa La zinaa..nae hajichunguzi.na kama umeweza kumuokota road akaubali umlale basi hata wengine pia wanajiokotea.
So possibly ana maambukizi
Utoto raha sana. Ila ukija kukua utaachana na hizi ndoto na stories za kijinga. Utawaza namna ya kutafuta pesa. Kwa sasa hapo kwa shemeji yako unawaza kuanzisha uzi za kipumbavu kama hizi. Subiri ije itokee mpewe talaka na shemeji yako.Peace be with you all,
Week hii niko Dodoma kwa masuala fulani. Jana jioni baada ya mizunguko wakati narudi hotel (Morena hotel) kabla sijafika round about kutokea Mipango nikamuona kimwa asee kimwana haswaa.
Demu ni mkali hatari sikua na mzuka na wanawake kutokana na deal fulani kwenda ovyo ila nilipomuona moyo uka paaaah. Nikaminya break laini kwa mbele akaja mpaka usawa wa dirisha salamu kisha nikamualika nimsogeze baada ya kusema anaelekea CBE nikamwambia na mimi naelekea huko (uongo mtupu sikua na safari ya CBE)
Kimwana akatinga ile kukaa mtoto paja laini alafu limejaa jaa aise ninauhakika huyu binti anatongoza wastani wa mara 10 kwa siku.
Yote kwa yote tukiwa tukasonga mazungumzo yakawa:
Mazungumzo yakaenda kulia kushoto utani na vicheko tulipofika CBE nikamwambia twende tukale pia nimependa kumjua kwa undani nikazungumze nae kwa utulivu akakubali kishingo upande hivyo tukapitiliza CBE hao mpaka Morena Hotel.
- Kwanini unatembea unauchosha mwili wakati kuna boda boda wengi.
- Sina hela ya boda boda kila siku labda kama umeona nateseka nipe basi hela ya boda boda ya week nzima.
- Vipi nikikupa lifti week nzima
- Weeeeh eeh kila siku unipe lift mwisho wake utaniomba. (Wote tukacheka)
- Wee ni mrembo sana hata leo lazima nikuombe
- Wanaume mnatamaa sana.
Kashuka mtoto nimeingia nae restaurant kaagiza mimi namkodolea mimacho moyoni najisemea "wewe leo lazina uuchezee" tukala pale nikachomekea
- Je leo hatujuani kwa kina na mapana. (Akacheka)
- Nyie wanaume (nikajua imeisha hiyo)
Nikamshika mkono akasimama haooo tukazama ndani. Mtoto yuko -vyumba vya hapa vizuri nikamjibu vizuri ila uzuri wako umekamilisha amani yangu. Bila kuchelewa romance taratiiibu.
Kimwana nikamvua kasketi then chupi aise aise harufu kali. Nilipata huzuni ghafla mwanamke mzuri vile ila ananuka uchi.
Nikajikaza nimcharaze hivyo hivyo ila nikashindwa nikachomoa mpurutungu nikaingia bafuni nilivyoka akaniuliza vipi nikamwambia nimepatwa na tumbo la kuharisha. (Sikutaka kumwambia kua shida ni yeye ananuka, bila shaka angejisikia vibaya sana)
Nikampa 60K nikimtania kua sitampa lifti tena kwa kua naumwa kwa hyo achukue hiyo ni ya boda boda nikamsindikiza mpaka nje akaita boda akaondoka.
Niliporudi chumba bado kina harufu kali nikapiga simu reception wanibadilishie chumba kwakua maji yana pressure ndogo bafuni (uongo) wala hawakuja kukagua akatumwa kijana kuja kuhamisha mizigo yangu kwenda chumba kingine.
Hitimisho, wanawake hebu kuweni makini na ikulu zenu kama kukiwa na harufu inakata mzuka wote wa kunyandua na nijuavyo wanaume hua hatuwezi kuwaambia live kua unanuka utashangaa mwanaume kakuacha tu.
Mmmh kukamua mandimu kwenye uchi sio naweza leta madhara kwa mtoto wa watu ?Uwe unatembea na ndimu kaka, inakata shombo
Mkamulie tu kaka kwanini haoshiMmmh kukamua mandimu kwenye uchi sio naweza leta madhara kwa mtoto wa watu ?
Tatizo sio kuoga. Issue ni UTI na wengi hawazingatii kupona kabisa. Hawatulii, wanabadilisha nyama kwa siku hata mara mbili. Kutumia condom ni mpaka mwanaume aamue yeye, so per day wanapokea bacteria wa aina tofauti tofauti kwenye Ikulu zao. Unategemea harufu isiwepo?Tatizo sio ikulu tatizo hawaogi hao ukute hapo kuna mtu alitoka kuchomoa nawe ukakurupuka kuchomeka bila hata kumuambia akaoge. Hivyo vidada vipo kazini vinajali kula vichwa tu na sio kujisafisha. Unakuta wengine wanaweka nyanya vitunguu na mazagazaga kibao ili mbususu iwe mnato matokeo yake harufu za ajabu ajabu
Ukinuka unajijua. Hata kama ni uvundo wa mikojo unasikia kabisa.Mkuu demi embu nisaidie kujibu hili swali kama una jibu lake au ushawahi sikia maana nimejiuliza mara nyingi
Hivi hao wadada wakitoa harufu wanajijua au inakuwa kama vile mtu anaye nuka mdomo hajijui ila anaowaongelesha wanajua
Maana unakutana na manzi harufu inayotoka sio mchezo ni zaidi ya mzoga in short haivumiliki kabisa unajiuliza hivi naiskia mimi au hadi yeye anaiskia
Maana unamuona yupo kawaida kama vile hamna kitu chochote
Kweli kabisaMmh Haruni uliyemkusudia naona umekwepa kumsema
Rudi nyuma shetani.Mkamulie tu kaka kwanini haoshi
Hebu jaribu mechi ya marudio uone au basi acha tuMmmh kukamua mandimu kwenye uchi sio naweza leta madhara kwa mtoto wa watu ?
Spam hazina nini????? Ile harufu ya spam mimi mbona naweza tapika?....Mmmh kama katoka kupelekewa moto ndio harufu kali kiasi kile mkuu !? Na nini kinasababisha mbona nijuavyo sperms hazina harufu
Kama mtu hajisikii au hajijui si inabidi umwambie au?Hivi kwanini usubiri upelekwe hospital?
Kwani ukiwa na tatizo huwezi kugundua?
Umetumia hasiraMorena vyumba vyao vya kawaida tu
Hili swala umemkuta huko badala umuambie unatuambie sie Mwambie mwenyewe