Wanawake heshimuni maungo yenu

Wanawake heshimuni maungo yenu

Boloyoung

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2015
Posts
682
Reaction score
652
Umevaa suruali imekubana na kuyachora maungo yako yote, halafu imechanwa chanwa mapajani kwa mbele, maungo yako yanaonekana na kila mtu.

Unakutana na rafiki yako anakuuliza kama umeolewa nawe bila haya unasema "niolewe na nani shosti, wanaume wenyewe matapeli tu"
We unadhani kuna mwanaume mwehu mpenda laana, wa kukuoa wewe, uje kumletea laana kwenye ukoo wake, mwishowe aje azae watoto wehu[emoji23]
 
Umevaa suruali imekubana na kuyachora maungo yako yote, halafu imechanwa chanwa mapajani kwa mbele, maungo yako yanaonekana na kila mtu.

Unakutana na rafiki yako anakuuliza kama umeolewa nawe bila haya unasema "niolewe na nani shosti, wanaume wenyewe matapeli tu"
We unadhani kuna mwanaume mwehu mpenda laana, wa kukuoa wewe, uje kumletea laana kwenye ukoo wake, mwishowe aje azae watoto wehu[emoji23]
Em waache tena mkuu maana hii mara ya pili bango hili linaletwa/unalileta.
 
28823c5b77d3c320f031d381d433285c.jpg
picha hiyo
 
weka ya kibongo bhnaa..unaweka picha ya kidhunguuu hao wanamihela kibaooo hata kuolewa hawaonagi issue ni hapa tu tz!

Tuma ya kibongo ndo ntaamini ni kweli
 
More pics please...tuone unachokisema
 
Umevaa suruali imekubana na kuyachora maungo yako yote, halafu imechanwa chanwa mapajani kwa mbele, maungo yako yanaonekana na kila mtu.

Unakutana na rafiki yako anakuuliza kama umeolewa nawe bila haya unasema "niolewe na nani shosti, wanaume wenyewe matapeli tu"
We unadhani kuna mwanaume mwehu mpenda laana, wa kukuoa wewe, uje kumletea laana kwenye ukoo wake, mwishowe aje azae watoto wehu[emoji23]
tapatalk_1491255165087.jpeg

Mbona akina kaundime wanajihifadhi vizuri tu......[emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
Back
Top Bottom