Mwanga Lutila
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 4,208
- 14,143
Ana maanisha hivyo hivyo alivyosema.Uko na mchumba kwa muda mrefu, baada ya kupata tuhela unasema ngoja sasa nimwambie mwenzangu nataka niende kwao nikajitambulishe na hatimae nioe kabisa..
Lakini mtu anakwambia hayuko tayali na bado hajajipanga..
Hivi mnaposema bado "mimi sijajipanga kwa ndoa " mnakuwa mnamaanisha nini?
Hujajipanga kwenye nini?
Huu ndio ukweliAna maanisha hivyo hivyo alivyosema.
Wewe umepata pesa ndo unaona muda wako muafaka wa kuoa umefika.
Na yeye ana jambo lake bado hajakamilisha. Ukute pia ana mchumba wake mwingine anayetaka kuolewa nae na sio wewe.
ukishaambiwa hivyo chapa Lapa ajipange anakuja na kitanda cha kulalia kwako?Uko na mchumba kwa muda mrefu, baada ya kupata tuhela unasema ngoja sasa nimwambie mwenzangu nataka niende kwao nikajitambulishe na hatimae nioe kabisa..
Lakini mtu anakwambia hayuko tayali na bado hajajipanga..
Hivi mnaposema bado "mimi sijajipanga kwa ndoa " mnakuwa mnamaanisha nini?
Hujajipanga kwenye nini?
Ndoto si mnaweza mkatekeleza wote kwenye ndoa? Eti?Maybe bado ana ndoto zake anataka azitimie kwanza,. Ndoa sio za kuharakia
Kwanini mnafanya hivi sasa?Ukute pia ana mchumba wake mwingine anayetaka kuolewa nae na sio wewe.
Lazima uwe na plan B huwezi ng'ang'ana na furushiKwanini mnafanya hivi sasa?