Wanawake, hivi huwa mnamaanisha nini?

Ni kweli mwanamke ndiyo anatakiwa kuanzisha hoja za kwenda kujitambulisha na siyo Mwanaume.
Key board worriors 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
.
Bro, usisikitite, katoe sadaka ya Shukrani, mashenzy kama hayo yanakuja kuwa masumbufu sana kwenye ndoa, mshukuru wala usimlaumu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…