Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga hoja👍KATAA NDOA
NDOA NI UGAIDI, NDOA NI USHETANI, NDOA NI UFIRAUNI WA KIWANGO CHA SGR, NDOA NDOANO.
Tunapenda pesa kaka sio ndoaAna mwingine huyo, Shtukaah!
Hakuna kitu wanawake wanakipenda karne hii kama ndoa!
UtajioaTunapenda pesa kaka sio ndoa
Sure, Mfano Nandy na NengaChaguo lake linapofeli ndio atajirudi na mtu wa hivyo sio wa kuishi nae.
Kuna classmate aliwahi fanyiwa hivyo na ke, yule ke alimuacha kwa dharau sana na kuchumbiwa na jamaa mwingine lakini yule jamaa hawakudumu wakaachana. Baada ya kuachana bidada akajirudi kwa jamaa aliemuacha, chap chap jamaa akavisha pete akaoa. Upendo una nguvu sana ila kufanywa plan B siwezi.
Nao ilikuwa hivyo?Sure, Mfano Nandy na Nenga
Lakini mkuu ukumbuke Ata kwny maandiko mwanampotevu alikataa nyumbani kwao lakini maisha yalipompiga akarudi homie wazazi wakamsameheChaguo lake linapofeli ndio atajirudi na mtu wa hivyo sio wa kuishi nae.
Kuna classmate aliwahi fanyiwa hivyo na ke, yule ke alimuacha kwa dharau sana na kuchumbiwa na jamaa mwingine lakini yule jamaa hawakudumu wakaachana. Baada ya kuachana bidada akajirudi kwa jamaa aliemuacha, chap chap jamaa akavisha pete akaoa. Upendo una nguvu sana ila kufanywa plan B siwezi.
Hahah bhasi tuiweke Kuolewa na mtu mwenye pesa.Tunapenda pesa kaka sio ndoa
Unahitaji msaada wa haraka kijanaUko na mchumba kwa muda mrefu, baada ya kupata tuhela unasema ngoja sasa nimwambie mwenzangu nataka niende kwao nikajitambulishe na hatimae nioe kabisa..
Lakini mtu anakwambia hayuko tayali na bado hajajipanga..
Hivi mnaposema bado "mimi sijajipanga kwa ndoa " mnakuwa mnamaanisha nini?
Hujajipanga kwenye nini?
Ewaaa umepatiaHahah bhasi tuiweke Kuolewa na mtu mwenye pesa.
Basi mwanaume mwenye pesaUtajioa
Siku hizi sio wote wanarudi🤣🤣🤣usikaririLakini mkuu ukumbuke Ata kwny maandiko mwanampotevu alikataa nyumbani kwao lakini maisha yalipompiga akarudi homie wazazi wakamsamehe
Sijawahi sikia kijana wa kiume anaibua swala la kutaka kwenda kujitambulisha kwa wazazi wa mwanamke,hiyo sio kazi yako kabisa ,by the way naona dada kama anakukataa hiviSiku hizi sio wote wanarudi🤣🤣🤣usikariri
Kwahiyo wakirudi baada ya kufeli huko kwa wawapendao wapokelewe?Lakini mkuu ukumbuke Ata kwny maandiko mwanampotevu alikataa nyumbani kwao lakini maisha yalipompiga akarudi homie wazazi wakamsamehe
Mwanamke malaya ndiyo misemo yao hiyo, tokalini mwanamke akajipanga kwenye ndoa kwani yeye ndiye anae beba gharama za uendeshaji.Uko na mchumba kwa muda mrefu, baada ya kupata tuhela unasema ngoja sasa nimwambie mwenzangu nataka niende kwao nikajitambulishe na hatimae nioe kabisa..
Lakini mtu anakwambia hayuko tayali na bado hajajipanga..
Hivi mnaposema bado "mimi sijajipanga kwa ndoa " mnakuwa mnamaanisha nini?
Hujajipanga kwenye nini?
Akuzuie kama una fanya mambo mabaya, sasa kama amekukuta kwenye ujasiliamali wako kwanini akuzuie?Inategemea sasa,. Wanaume wengine mkishaoana anakua anataka atake control over everything na kuna vitu vingine anaweza akuzuie kuvifanya na nini,.
So it’s better mkasubiri mda ambao kila mtu yuko tayari
Ni kweli mwanamke ndiyo anatakiwa kuanzisha hoja za kwenda kujitambulisha na siyo Mwanaume.Sijawahi sikia kijana wa kiume anaibua swala la kutaka kwenda kujitambulisha kwa wazazi wa mwanamke,hiyo sio kazi yako kabisa ,by the way naona dada kama anakukataa hivi
Wacha bwana!!Wewe sio chaguo lake, mwanamke akikuambia hivyo ni wazi kuwa wewe ni spare tyre kwake, ana mtu wake anasubiria tu tamko la kwenda nyumbani.
Wanawake ni smart sana, basi tu...wanatupanga sio poa!!