Wanawake, hivi huwa mnamaanisha nini?

Wanawake, hivi huwa mnamaanisha nini?

Ana mwingine huyo, Shtukaah!

Hakuna kitu wanawake wanakipenda karne hii kama ndoa!
 
Chaguo lake linapofeli ndio atajirudi na mtu wa hivyo sio wa kuishi nae.

Kuna classmate aliwahi fanyiwa hivyo na ke, yule ke alimuacha kwa dharau sana na kuchumbiwa na jamaa mwingine lakini yule jamaa hawakudumu wakaachana. Baada ya kuachana bidada akajirudi kwa jamaa aliemuacha, chap chap jamaa akavisha pete akaoa. Upendo una nguvu sana ila kufanywa plan B siwezi.
Sure, Mfano Nandy na Nenga
 
Chaguo lake linapofeli ndio atajirudi na mtu wa hivyo sio wa kuishi nae.

Kuna classmate aliwahi fanyiwa hivyo na ke, yule ke alimuacha kwa dharau sana na kuchumbiwa na jamaa mwingine lakini yule jamaa hawakudumu wakaachana. Baada ya kuachana bidada akajirudi kwa jamaa aliemuacha, chap chap jamaa akavisha pete akaoa. Upendo una nguvu sana ila kufanywa plan B siwezi.
Lakini mkuu ukumbuke Ata kwny maandiko mwanampotevu alikataa nyumbani kwao lakini maisha yalipompiga akarudi homie wazazi wakamsamehe
 
Uko na mchumba kwa muda mrefu, baada ya kupata tuhela unasema ngoja sasa nimwambie mwenzangu nataka niende kwao nikajitambulishe na hatimae nioe kabisa..

Lakini mtu anakwambia hayuko tayali na bado hajajipanga..

Hivi mnaposema bado "mimi sijajipanga kwa ndoa " mnakuwa mnamaanisha nini?

Hujajipanga kwenye nini?
Unahitaji msaada wa haraka kijana
 
Uko na mchumba kwa muda mrefu, baada ya kupata tuhela unasema ngoja sasa nimwambie mwenzangu nataka niende kwao nikajitambulishe na hatimae nioe kabisa..

Lakini mtu anakwambia hayuko tayali na bado hajajipanga..

Hivi mnaposema bado "mimi sijajipanga kwa ndoa " mnakuwa mnamaanisha nini?

Hujajipanga kwenye nini?
Mwanamke malaya ndiyo misemo yao hiyo, tokalini mwanamke akajipanga kwenye ndoa kwani yeye ndiye anae beba gharama za uendeshaji.
 
Inategemea sasa,. Wanaume wengine mkishaoana anakua anataka atake control over everything na kuna vitu vingine anaweza akuzuie kuvifanya na nini,.
So it’s better mkasubiri mda ambao kila mtu yuko tayari
Akuzuie kama una fanya mambo mabaya, sasa kama amekukuta kwenye ujasiliamali wako kwanini akuzuie?
 
Sijawahi sikia kijana wa kiume anaibua swala la kutaka kwenda kujitambulisha kwa wazazi wa mwanamke,hiyo sio kazi yako kabisa ,by the way naona dada kama anakukataa hivi
Ni kweli mwanamke ndiyo anatakiwa kuanzisha hoja za kwenda kujitambulisha na siyo Mwanaume.
 
Back
Top Bottom