Wanawake hivi mkiachana kwenye mapenzi ni lazima muwe maadui?

Wanawake hivi mkiachana kwenye mapenzi ni lazima muwe maadui?

M
Hata wanaume wengine kama wanawake mtu anakuacha anakutukana weee mpaka unajiona choo alafu baada ya muda anarudi umsamehe eti ni hasira tu ... Shida kweli kweli
Mtuelewe tu ivo,kila mtu ana reaction yake inapotokea kutofautiana na mpnz wake
 
Alo ni kweli imenitokea nilikua naelewana na manzi mmoja bac tumekua maadui salaam hakuna
 
Back
Top Bottom