Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mwanaume anaweza mshinda mwanamke akiamua!Lakini Mwanamke Hawezi Shndana Na Mwanaume
Hapo mwisho ndipo ulipokosea. Hukuvua chupi ndio maana anaongeaongea hovyoBaelezee baelewe ba mutu ya kuvuja damu kila kumwezi!!! Mzee umenikumbusha mbali kdogo nikiwa chuo kikuu mwaka wa kwanza kuna mtoto mmoja hiv wa kike alitokea kunielewa,nikawa nampigisha story tu namwacha na kila cku akawa ananiletea vtaarifa vya udaku Mara m2 flani kanitongoza... Hapo ananionyesha mpaka msg za huyo aliyemtongoza.Nikawa namchunguza taratbu baadae nikagundua ni mwingi wa habari beki hazkabi,nikaanza kujiepusha nae taratbu kabla cjala 'the river between yake'.Nakumbuka cku moja boom likawa limetoka akaanza 'oooooohhhhh ninunulie smartphone ya laki sita mm cm ya imeharbika' hapo ndyo nikajitenga nae moja kwa moja, sasa kilichofuatia akaanza kunichafulia jina akidai mm huwa namtongoza kila mwanamke lakn ukwel haukuwa hivyo kwa kuwa ckuwa mtongoza mwanamke yeyote ktk mazngira ya chuo hata yeye mwenyewe ckuwahi kumvua chupi.
Nakwambia akiamua hata hiyo talaka hutathubutu kutoa!Kumshinda Mwanamke We Mpe Talaka Yakujifunza Akiwa Kwao Mpaka Atakapojiona Tayari Kurudi
Mkuu Umeongea Maneno Ya Msingi Kwelimkiwa maadui ndo inamaanisha mlipendana kweli, lakin kama mnachukuliana poa bas hamkuwa na feelings kati yenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Mkuu Ulishawahi Kupenda Ile Yenyewe ? Achana na KutamaniWewe mtu mmeachana salamu ya nini, Fanya yako maisha yaendelee ila akikutafuta wewe.. kwanza mm mtu tukiachana ndani ya wiki moja namsahau kabisa, Hata nikikutana nae moyo haushituki kabsa
Send from Nokia batani
Aisee wiki mbo ndefu hivyo. Kwa ninaowatamani huwa haizidi NUSU SAA kuwasahahu. Afu ni wengi balaa. Unaongozana na mmoja kwenda kugegeda hapo hapo bado unatamani mwingineWewe mtu mmeachana salamu ya nini, Fanya yako maisha yaendelee ila akikutafuta wewe.. kwanza mm mtu tukiachana ndani ya wiki moja namsahau kabisa, Hata nikikutana nae moyo haushituki kabsa
Send from Nokia batani
Ndio ujue ni tabia binafsi!Hapana