Wanawake hivi mkiachana kwenye mapenzi ni lazima muwe maadui?

Wanawake hivi mkiachana kwenye mapenzi ni lazima muwe maadui?

Hapo hapo Mimi kila mwezi mwanaume niliye achana nae hawezi pitisha hajanitukana jmn alfu sasa akikaa wiki anakuja kukuomba samahani anaanza kukumbushia mapnz yenu yalivyokuwa yani anachosha vby
Kumbe you have been in a relationship back in the days
 
Nimejaribu Ku imagine ulipata mchambo wa daladala za mbagala nyomi wanaacha kinda chini?
Au mchambo wa mwendo kasi no kondakta??
Hataricious
ana nijibu kwa ujeuri jeuri
 
Unakuta Mwanamke Hujawai Kutembea Naye Wala Kumfanyia Baya Lolote Lile Lakini Bahati Mbaya Mahusiano Yamevunjika Tu Ghafla,Hakuna Mawasiliano Pande Zote Mbili Lakini Siku Unamuona Online Umemtumia Tu Ujumbe Wa Kumsalimu Povu Linamtoka Vibaya Mno Tena Haliishii Hapo Atatoa Nyuzi Zinazokuhusu Wewe Kila Kukicha Kwenye Mitandao Ya Kijamii Na Unajaribu Kuomba Muyamalize Ili Mtoe Tofauti Zenu Bado Povu Lamtoka Je Hii Inamaanisha Nini?
labda wew ni pesa ndo uwe unasemwa kila mahal,usiwe na tabia ya kuhisi kuwa unasemwa, kuna wengine wanaposti ili kuona watu wanamitaxamo gan,hakun MTU mwenyeakili timam anapoteza muda wake kumsema MTU,
 
Uadui ni muhimu sababu tumeachana mimi nikiachana na mtu ndo basi hata salamu sihitaji mana ishanitokeaga kuna mwanaume niliachana nae peacefully tukawa tunawasiliana tu kawaida akanza figisufigisu hadi akaniharibia kwa mwanaume niliekua nae kwenye mahusiano kwa kipindi hicho,tangu hapo nikiachana na mtu ni adui yangu hata akisema ajianze kwa gia ya salamu nitamtolea povuuuu tu ili asiendelee.
 
"Heav'n has no Rage, like Love to Hatred turn'd, Nor Hell a Fury, like a Woman scorn'd." - 1697 play "The Mourning Bride" (Act III Scene 2) by William Congreve
 
Kulingana na maelezo yako mtu mwenye akili timamu hawezi kufanya mambo kama hayo
 
Back
Top Bottom