Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Si unalo sauti la hivyo ndo maana,, ukiunguruma ni Kama Simba yani😂😂Umenifanya nicheke sana hapa😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si unalo sauti la hivyo ndo maana,, ukiunguruma ni Kama Simba yani😂😂Umenifanya nicheke sana hapa😀
😀😀🙂 haya bhana...Nimekumiss duhSi unalo sauti la hivyo ndo maana,, ukiunguruma ni Kama Simba yani😂😂
Umenigaya siku hizi, we sawa tu haina noma😀😀🙂 haya bhana...Nimekumiss duh
Mie kwako mbona sipindui na unajua...sijui kwanini tunapishanaUmenigaya siku hizi, we sawa tu haina noma
Kuna mtu kachukua nafasi yangu,, ila ndo hivyo maisha kupokezana😂😂Mie kwako mbona sipindui na unajua...sijui kwanini tunapishana
Dah mbona unanikatia Tamaa namna hii??Kuna mtu kachukua nafasi yangu,, ila ndo hivyo maisha kupokezana😂😂
Hahahah kuwatunuku kirahisi hvo we ungeweza jamaniNdio muwatunuku mbususu zenu sasa sio mwaishia kusema inatia hamasa tuu
Kwani wee nini kinakufanya ushindwe kutunuku...kwani mbususu sii umepewa bureeHahahah kuwatunuku kirahisi hvo we ungeweza jamani
Mimi napenda ya wastani hayo masauti makubwa mazito ni wauajiMimi binafsi sauti langu nalichukia yaani unakuta siku lisauti linakuwa lizito kama umemeza kokoto, cha kushangaza eti kuna lidada limoja huwa linaniambiaga anapenda sauti yangu ilivyo yani hadi namshangaa.
Hivi mnapendea nini sauti nzito yaani inakuwa inawapa feeling gani sisi wenyewe hatupendi hii misauti nyie mnapenda.
Kuna mwingine ana video za Obama kibao ukimuuliza kwanini anasema eti anapenda sauti yake tu sasa hii misauti mizito yetu nyie iweje muipende.
Sauti nzito tamu hasa mwenye nayo akiwa anafika mshindo, nahisi kudeka na usalama mikononi mwa Simba dume.
Ni Kama muungurumo wa Simba tu hasa Kama uliwahi kuusikia live ile hisia unapata ndo hiyo wanawake tunaojua maana ya besi tunavyofeel tukiwasikia.
...Mtu akiwa na sauti nzito ni ishara ya kuwa BOLD, we feel protected!, ni sawa na mtu kuwa tall na muscular....vyote vinaashiria SECURITY
Huna sauti nzito ndo maana umeandika hiviWanawake bana mambo yao dah! Acha muitwe wanawake tu.
Sauti nzito / Tall / Muscular vyote kwa mwanaume sio kigezo cha ustrong havina uhalisia wowote na hayo munayoyazungumza
mhhhhhhhhAisee mwanaume mwenye sauti nzito raha sana, afu akuongelee sikioni hivi unahisi uko peponi. Napenda sauti ya zege
Uchwara dokta mbona unaguna sasa?😛mhhhhhhhh
Huna sauti nzito ndo maana umeandika hivi
Ndo ukweli wenyewe huo sasa😂 😂 😂 nilijua kinachofata ni hicho. Ila ukweli utabaki kuwa ukweli tu
Google it in psychological terms hivi vitu labda utaelewa mweeehhhhWanawake bana mambo yao dah! Acha muitwe wanawake tu.
Sauti nzito / Tall / Muscular vyote kwa mwanaume sio kigezo cha ustrong havina uhalisia wowote na hayo munayoyazungumza