Wanawake hutoka zaidi nje ya ndoa wakati huu!

inaitwa the power of subcounsious mind.....

nimewahi zungumza huko nyuma kuwa yai la mwanamke linapokuwa tayari kwa kupokea mbegu
women wanavutika na healthy guy for sex or good gene,hence mahawara,ma handsome n.k
 
inaitwa the power of subcounsious mind.....

nimewahi zungumza huko nyuma kuwa yai la mwanamke linapokuwa tayari kwa kupokea mbegu
women wanavutika na healthy guy for sex or good gene,hence mahawara,ma handsome n.k

Boss bana....una mikwara sana saa ingine. Eti the power of subconscious mind....mimi nikiona hivyo nakumbuka Psychology 101.
 
Pia mavazi ya wanawake yana-design-iwa kuendena na siku za heat na kadhalika. Hivyo ukimwona mwanamke kavaa nguo ya kutamanisha ujue yuko kwenye muda wa kupata ujauzito!

Dawa yake ni kuwa na gene kali ambayo inatoa stamp!!
 
wifi nimekuona sana! ila yule mtoto wenu wa sita kafanana na odm ile mbaya. hivi shem na odm ni ndugu ama ni maswahiba tu? samahani kama ntakukwaza
Hapa nijifanye sijapita....
<br />
<br />
 
hili naona ni kweli maana dada zetu balaa siku hizi yaani wanasujudu ngono kuliko upendo ndani ya ndoa zao
 
Sasa mnataka 2anze kunyoosheana vidole wanandugu maana braa unaweza kujikuta ww mwenyewe njecup ina bidi 2uuchune tu. ila nahis hapa kwe2 kati ya 5 ni 1 tu ndie wa 4 co. ulimpata ulipo oa
 
Cha mtu mavi ukikiona temea mate paaa!
 
<br />
<br />
Hii submition yako imenifanya kila mwanangu atakayezaliwa nikampima DNA hali inatisha kam ndio hv mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…