Wanawake huwa hatuna shoo mbovu

Wanawake huwa hatuna shoo mbovu

Kabeba bwanake Kwa begi yupo semina ya wanawake tunaweza.
20221127_150728.jpg
 
Sisi wanawake tuko werevu kuliko wanaume. Mwanamke akiwa na lake jambo, lazima litimie kwa gharama na njia yoyote. Halali au haramu.

Mwanamke akiwa mchawi anakuwa mchawi wa kutisha. Mwanamke akishaamua ashike mtutu wa bunduki asonge mbele, hakuna cha kumzuia.

Mwanamke akiamua kuuza "Papa" anauza mchana peupe, hadharani. Mwanamke ukimzingua, haoni hatari aitwe mjane, we jichanganye tu na umchukulie poa uone anavyokukata pumzi.

Mungu hakukosea alipowausieni muishi na mwanamke kwa akili!
Pumba! Umetendwa siyo bure. Una msongo mkubwa wa mawazo.
 
Ndio maana nimeamua kuwa single milele
Usiwajumuishe ke wote kwa sababu ya maneno ya hawa walioumizwa na stress kama mtoa mada. Washajichokea. Ukitazama btn lines utagundua ana makasiriko
 
Sisi wanawake tuko werevu kuliko wanaume. Mwanamke akiwa na lake jambo, lazima litimie kwa gharama na njia yoyote. Halali au haramu.

Mwanamke akiwa mchawi anakuwa mchawi wa kutisha. Mwanamke akishaamua ashike mtutu wa bunduki asonge mbele, hakuna cha kumzuia.

Mwanamke akiamua kuuza "Papa" anauza mchana peupe, hadharani. Mwanamke ukimzingua, haoni hatari aitwe mjane, we jichanganye tu na umchukulie poa uone anavyokukata pumzi.

Mungu hakukosea alipowausieni muishi na mwanamke kwa akili!
Tuliambiwa tukae nanyi kwa akili kwa sababu wanawake ni vyombo dhaifu na sio bla bla ulizoandika hapa.
 
Mwanaume ndio kiumbe fala zaidi duniani. Adam hakum'bikiri Eva. Adam alikula mzigo baada ya kufundishwa na Eva ujanja
Lete ushahidi. Otherwise ni porojo za vijiwe vya kahawa. U need help. Una rundo la stress. Pole pia
 
wanawake wengi wanaishi kwa mateso..wanasihia kubeba mabeseni ya mihogo na matunda kutafuta wateja barabarani
 
Sisi wanawake tuko werevu kuliko wanaume. Mwanamke akiwa na lake jambo, lazima litimie kwa gharama na njia yoyote. Halali au haramu.

Mwanamke akiwa mchawi anakuwa mchawi wa kutisha. Mwanamke akishaamua ashike mtutu wa bunduki asonge mbele, hakuna cha kumzuia.

Mwanamke akiamua kuuza "Papa" anauza mchana peupe, hadharani. Mwanamke ukimzingua, haoni hatari aitwe mjane, we jichanganye tu na umchukulie poa uone anavyokukata pumzi.

Mungu hakukosea alipowausieni muishi na mwanamke kwa akili!

Uko sahihi Kwa 50%
 
Sisi wanawake tuko werevu kuliko wanaume. Mwanamke akiwa na lake jambo, lazima litimie kwa gharama na njia yoyote. Halali au haramu.

Mwanamke akiwa mchawi anakuwa mchawi wa kutisha. Mwanamke akishaamua ashike mtutu wa bunduki asonge mbele, hakuna cha kumzuia.

Mwanamke akiamua kuuza "Papa" anauza mchana peupe, hadharani. Mwanamke ukimzingua, haoni hatari aitwe mjane, we jichanganye tu na umchukulie poa uone anavyokukata pumzi.

Mungu hakukosea alipowausieni muishi na mwanamke kwa akili!
Aisee, hata mm naona.
 
Back
Top Bottom