Wanawake huwamaliza kinyama sana wanaume wanaojifanya wanawajua wanawake

Wanawake huwamaliza kinyama sana wanaume wanaojifanya wanawajua wanawake

mimiamadiwenani

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
5,718
Reaction score
7,784
Familia zenu zipo salama?

Toka zamani till now, wale wanaume wanaojifanya ni 'maromantiki' mno na kujifanya wanatufundisha sisi wanaume wengine jinsi ya ku care wanawake, huadhibiwa kikatili sana na wanawake.

Mwisho huishia kwenye fedheha na aibu. Huwezi kutafuta cheap popolarity kwa kuwakandia wanaume wenzako na ukabaki safe. Hell no.

Kutwa kucha kututukana wanaume wenzao wakisema hatupo romantic na kuleta vi thread vyao vya masimango, wakitafuta cheap popularity kutoka kwa wanawake. Sisi tunasema sawaaa!

List ya wanaume walioadhibiwa kikatili sana na wanawake kwa kujifanya wanajua sana kujali kuliko wanaume wengine.

1. Tyrese
Sielezi mengi... Kutwa kucha analia mpaka anatoa kamasi, alijifanya much know na kuona dunia ameimaliza, alijiona yeye ndiye mwanaume pekee duniani anayejua kupenda. Sisi wengine aliona malofa. Ona alipoangukia sasa. Na iwe fundisho!.

2. Steve Harvey
Huyu bado yupo kwenye target. Ameshajaa kwenye mfumo. Atakipata anachokitafuta. Kutwa kutusimanga wanaume wengine akisema hatujui kupenda, sisi tunasema sawa, tumekubali hatujui kupenda.

3. Aboue
Kwa huyu sina mengi. Kila mmoja anajua alichokipata. Sina haja ya kuweka details nyingi. Amekuwa fundisho kwa wengine. Alichagua kujifunza a hard way.

4. M@Thanger mkantamishaJ1
Huyu naye alikipata alichokitafuta. Anagugumia maumivu. Naye alikuwa ni wale wale.

5. Yule mheshimiwa 'Watatu'.
Huyu aliwashwa kikatili mno. Alitutukana mno kule jukwaa la jamii akijinadi yeye ndiye anajua kupenda na sisi wengine maf.@rra tu. Tukam zoom tu. Akakipata alichokitafuta. Na iwe fundisho. Alitutukana mno, alitusimanga mno akitafuta cheap popularity. Hatimaye Hawa akamuwacha.

Hawa wote wanavuja damu mioyoni till this moment. Walitafuta cheap popularity kwa wanawake kwa kuwasimanga wanaume wenzao, kuwadhalilisha kwa maneno na kuwakejeli kwa kila namna. Wamepata waliyostahili.
Walikuwa na choices. Ila wao walichagua ku learn the hard ways.

List ni ndefu, na bado kuna list ya impending triumphs kwa nice guys wengine.

Stay tuned!
Huwezi kuwatukana na kuwadhalilisha wanaume wenzio halafu ubaki salama. Hell no!
 
Kumbuka hata wasio romantic huwakuta pia mkuu, mapenzi hayana formula kila mtu huyaendea kwa style yake.
 
Familia zenu zipo salama?

Toka zamani till now, wale wanaume wanaojifanya ni 'maromantiki' mno na kujifanya wanatufundisha sisi wanaume wengine jinsi ya ku care wanawake, huadhibiwa kikatili sana na wanawake.

Mwisho huishia kwenye fedheha na aibu. Huwezi kutafuta cheap popolarity kwa kuwakandia wanaume wenzako na ukabaki safe. Hell no.

Kutwa kucha kututukana wanaume wenzao wakisema hatupo romantic na kuleta vi thread vyao vya masimango, wakitafuta cheap popularity kutoka kwa wanawake. Sisi tunasema sawaaa!

List ya wanaume walioadhibiwa kikatili sana na wanawake kwa kujifanya wanajua sana kujali kuliko wanaume wengine.

1. Tyrese
Sielezi mengi... Kutwa kucha analia mpaka anatoa kamasi, alijifanya much know na kuona dunia ameimaliza, alijiona yeye ndiye mwanaume pekee duniani anayejua kupenda. Sisi wengine aliona malofa. Ona alipoangukia sasa. Na iwe fundisho!.

2. Steve Harvey
Huyu bado yupo kwenye target. Ameshajaa kwenye mfumo. Atakipata anachokitafuta. Kutwa kutusimanga wanaume wengine akisema hatujui kupenda, sisi tunasema sawa, tumekubali hatujui kupenda.

3. Aboue
Kwa huyu sina mengi. Kila mmoja anajua alichokipata. Sina haja ya kuweka details nyingi. Amekuwa fundisho kwa wengine. Alichagua kujifunza a hard way.

4. M@Thanger mkantamishaJ1
Huyu naye alikipata alichokitafuta. Anagugumia maumivu. Naye alikuwa ni wale wale.

5. Yule mheshimiwa 'Watatu'.
Huyu aliwashwa kikatili mno. Alitutukana mno kule jukwaa la jamii akijinadi yeye ndiye anajua kupenda na sisi wengine maf.@rra tu. Tukam zoom tu. Akakipata alichokitafuta. Na iwe fundisho. Alitutukana mno, alitusimanga mno akitafuta cheap popularity. Hatimaye Hawa akamuwacha.

Hawa wote wanavuja damu mioyoni till this moment. Walitafuta cheap popularity kwa wanawake kwa kuwasimanga wanaume wenzao, kuwadhalilisha kwa maneno na kuwakejeli kwa kila namna. Wamepata waliyostahili.
Walikuwa na choices. Ila wao walichagua ku learn the hard ways.

List ni ndefu, na bado kuna list ya impending triumphs kwa nice guys wengine.

Stay tuned!
Huwezi kuwatukana na kuwadhalilisha wanaume wenzio halafu ubaki salama. Hell no!
Women like distructions and chaos more than you can imagine. The nicer you are to a woman the more likely she is going to fvck you up, but if you are mean they cherish you.

Women don't like it when a guy is good because he won't be posing any challenges making the relationship void of drama.

A typical woman can't do without drama; she wants trouble, she wants to have something to be worried about. Give them trouble and periodic unrest and see them working hard to "keep" you. They like it; it makes them feel like they're working or being important.

At first women think they love mr. nice guy but with absent of drama, chaos and quells she will get bored of nice guy and switch allegiance to bad boy.
 
Yoda Mazungumzo yetu.
Mkuu hili suala nalielewea vizuri sana, nafikiri uzi wa kula tenda kimasihara ndio unaweza kuwa na uchangiaji mwingi zaidi ukifuatiwa na nyuzi za mipira na kwa mbali ule wa vita vya Ukraine, still nyuzi nyingi za maana katika siasa, biashara, dini, uchumi, ujenzi n.k zinaanzishwa na wanaume labda hata kwa 97%
 
Tullishaambiwa tuishi nao kwa akili. Sema hata kujua tutumie akili gani ni changamoto. Tunadeal na wanadamu kila mtu yuko unique 100% kuanzia reasoning, maamuzi, hisia n.k.
Hili la wanawake halina mwamba sana na kila mwanaume unajua siri alizobeba - Kikubwa tuwe na kiasi - ukitaka kuonyesha malove - tumia akili kuwa na kiasi, ukitaka kusifia vivyo hivyo, ukiwa kauzu pia tumia akili sio mihemuko na silika.

Mambo ya MC Pilipili yalikuwa ya hovyo sana, alituaibisha sana wanaume.
 
Familia zenu zipo salama?

Toka zamani till now, wale wanaume wanaojifanya ni 'maromantiki' mno na kujifanya wanatufundisha sisi wanaume wengine jinsi ya ku care wanawake, huadhibiwa kikatili sana na wanawake.

Mwisho huishia kwenye fedheha na aibu. Huwezi kutafuta cheap popolarity kwa kuwakandia wanaume wenzako na ukabaki safe. Hell no.

Kutwa kucha kututukana wanaume wenzao wakisema hatupo romantic na kuleta vi thread vyao vya masimango, wakitafuta cheap popularity kutoka kwa wanawake. Sisi tunasema sawaaa!

List ya wanaume walioadhibiwa kikatili sana na wanawake kwa kujifanya wanajua sana kujali kuliko wanaume wengine.

1. Tyrese
Sielezi mengi... Kutwa kucha analia mpaka anatoa kamasi, alijifanya much know na kuona dunia ameimaliza, alijiona yeye ndiye mwanaume pekee duniani anayejua kupenda. Sisi wengine aliona malofa. Ona alipoangukia sasa. Na iwe fundisho!.

2. Steve Harvey
Huyu bado yupo kwenye target. Ameshajaa kwenye mfumo. Atakipata anachokitafuta. Kutwa kutusimanga wanaume wengine akisema hatujui kupenda, sisi tunasema sawa, tumekubali hatujui kupenda.

3. Aboue
Kwa huyu sina mengi. Kila mmoja anajua alichokipata. Sina haja ya kuweka details nyingi. Amekuwa fundisho kwa wengine. Alichagua kujifunza a hard way.

4. M@Thanger mkantamishaJ1
Huyu naye alikipata alichokitafuta. Anagugumia maumivu. Naye alikuwa ni wale wale.

5. Yule mheshimiwa 'Watatu'.
Huyu aliwashwa kikatili mno. Alitutukana mno kule jukwaa la jamii akijinadi yeye ndiye anajua kupenda na sisi wengine maf.@rra tu. Tukam zoom tu. Akakipata alichokitafuta. Na iwe fundisho. Alitutukana mno, alitusimanga mno akitafuta cheap popularity. Hatimaye Hawa akamuwacha.

Hawa wote wanavuja damu mioyoni till this moment. Walitafuta cheap popularity kwa wanawake kwa kuwasimanga wanaume wenzao, kuwadhalilisha kwa maneno na kuwakejeli kwa kila namna. Wamepata waliyostahili.
Walikuwa na choices. Ila wao walichagua ku learn the hard ways.

List ni ndefu, na bado kuna list ya impending triumphs kwa nice guys wengine.

Stay tuned!
Huwezi kuwatukana na kuwadhalilisha wanaume wenzio halafu ubaki salama. Hell no!
Huko umeenda mbali sana. Hapa hapa bongo tuna JJ Mwaka alipata pigo takatifu.
 
Back
Top Bottom