Wanawake jifunzeni kumove on

Wanawake jifunzeni kumove on

Naelewa kuwa una wasiwasi kuhusu suala la jinsi wanawake wanavyoshughulika na uhusiano uliovunjika na mwenzi wao ambaye amefanya udanganyifu. Ni muhimu kutambua kwamba hali za kibinafsi zinatofautiana na kila mtu anashughulika na maumivu na hali ya uhusiano kwa njia tofauti. Kila mtu ana haki ya kuchagua jinsi ya kushughulikia hali yake.

Ni muhimu kujenga uelewa wa jumla na kuvunja vizuizi vya kitamaduni linapokuja suala la haki za wanawake na uwezo wao wa kujitegemea. Elimu ni muhimu sana katika kuwawezesha wanawake kuelewa haki zao na kufanya maamuzi sahihi katika maisha yao. Hata hivyo, ni muhimu kukumbuka kwamba elimu pekee haitoshi, na kuna mambo mengi yanayochangia maamuzi na matokeo ya mtu katika uhusiano.

Kuhusu suala la kuacha kazi kwa sababu ya mwanaume, ni uamuzi wa kibinafsi unaofanywa na mtu binafsi. Kuna sababu mbalimbali zinazoweza kusababisha mtu kufanya uamuzi huo, ikiwa ni pamoja na hali ya kihisia, kifedha, na kiutu. Ni muhimu kutambua kwamba kila mtu anao uhuru wa kufanya maamuzi yao ya maisha, na sio jukumu letu kuamua kile wanachopaswa kufanya.

Katika suala la kijamii, ni muhimu kwa jamii kuelimisha na kukuza usawa wa kijinsia, kutoa nafasi sawa kwa wanawake na wanaume, na kuheshimu haki za kila mtu. Hii inajumuisha kufundisha jinsi ya kujenga uhusiano wenye afya, jinsi ya kujiamini, na jinsi ya kushughulikia hali za kibinafsi kwa njia nzuri.

Ninaelewa kuwa una wasiwasi kuhusu suala hili, lakini ni muhimu kukumbuka kwamba kila mtu ana haki ya kufanya maamuzi kulingana na mazingira yao na uzoefu wao wa kibinafsi. Inaweza kuwa nzuri kutoa ushauri na kuonyesha mifano bora, lakini hatupaswi kuhukumu au kudharau uamuzi wa mtu mwingine.
Haki sawa ndio msingi wa yote leo unakubali mtoto wako wa kike kufanyiwa vitimbwi.
 
utakuwa umeanza kufanya majukumu ya kike. ni kama unashangaa wanang'ang'ania nini..., unavyojisikia wewe ni tofauti na wao. POLE AFU JICHUNGE
Mi ni wakiume ila natetea jinsia Ke wewe kama unapata shida ni wewe mkuu.
 
Hahaha aaah wapi! Wanne wote mpaka nikaamua kuwaacha mwenyewe kwa kuwaonea huruma... nimewaburuza sana[emoji23][emoji23]
Wewe unajisifu sio kwani unaandika hivi ukiwa mkoa gani???
 
Mi ni wakiume ila natetea jinsia Ke wewe kama unapata shida ni wewe mkuu.
Huo ni ushoga, kila siku unang'ang'ana na mapenzi waliyonayo wadada kwa wenzi wao, huo wivu gani kwa dada zako? if not yet soon utaingia full
 
Kwanza kabisa kwa utafiti wangu kwako namba moja, wewe ni muungwana mno. Hongera kwa kuwa muungwana.

Tukirejea kwenye swali lako, hapana mkuu siwatafuni hivyo hata.

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Asante sana kwa kunipa hizo sifa,
Kumbe huwatafuni siyo 😁
 
Mmh
KwNza Kila nikiwaza mambo yanayoendelea kwenye hizo ndoa 🙌
Mikifikiria dada aliyeong'olewa meno na jicho, sina hata hamu jamani


Kiukweli Hali ni tete....
 
Naelewa kuwa una wasiwasi kuhusu suala la jinsi wanawake wanavyoshughulika na uhusiano uliovunjika na mwenzi wao ambaye amefanya udanganyifu. Ni muhimu kutambua kwamba hali za kibinafsi zinatofautiana na kila mtu anashughulika na maumivu na hali ya uhusiano kwa njia tofauti. Kila mtu ana haki ya kuchagua jinsi ya kushughulikia hali yake.

Ni muhimu kujenga uelewa wa jumla na kuvunja vizuizi vya kitamaduni linapokuja suala la haki za wanawake na uwezo wao wa kujitegemea. Elimu ni muhimu sana katika kuwawezesha wanawake kuelewa haki zao na kufanya maamuzi sahihi katika maisha yao. Hata hivyo, ni muhimu kukumbuka kwamba elimu pekee haitoshi, na kuna mambo mengi yanayochangia maamuzi na matokeo ya mtu katika uhusiano.

Kuhusu suala la kuacha kazi kwa sababu ya mwanaume, ni uamuzi wa kibinafsi unaofanywa na mtu binafsi. Kuna sababu mbalimbali zinazoweza kusababisha mtu kufanya uamuzi huo, ikiwa ni pamoja na hali ya kihisia, kifedha, na kiutu. Ni muhimu kutambua kwamba kila mtu anao uhuru wa kufanya maamuzi yao ya maisha, na sio jukumu letu kuamua kile wanachopaswa kufanya.

Katika suala la kijamii, ni muhimu kwa jamii kuelimisha na kukuza usawa wa kijinsia, kutoa nafasi sawa kwa wanawake na wanaume, na kuheshimu haki za kila mtu. Hii inajumuisha kufundisha jinsi ya kujenga uhusiano wenye afya, jinsi ya kujiamini, na jinsi ya kushughulikia hali za kibinafsi kwa njia nzuri.

Ninaelewa kuwa una wasiwasi kuhusu suala hili, lakini ni muhimu kukumbuka kwamba kila mtu ana haki ya kufanya maamuzi kulingana na mazingira yao na uzoefu wao wa kibinafsi. Inaweza kuwa nzuri kutoa ushauri na kuonyesha mifano bora, lakini hatupaswi kuhukumu au kudharau uamuzi wa mtu mwingine.
Tatizo linaanzia pale tulipoamua kuacha maandiko matakatifu na kuanzisha utaratibu wetu katika mambo haya, biblia/qur'an zinaonekana kuwa outdated!
 
Haloo jukwaa la MMU....

Ngoja leo nitetee hawa malaika a.k.a maua a.k.a wanawake kuna swala fulani kwenye gender sijui niseme sisi wanaume hatufanyi sawa kwao.

Hivi inawezekana vipi mwanamke akosee umpeleke kanisani hadi umuitie wazazi kisa kachepuka na umemfuma red handed afu wewe mwanaume ukipiga nje yanaishia chumbani.

Niseme kwa wadada emu jifunzeni kumove on (Ladies learn how to move on).

Kuna dada humu amefungua uzi na yupo na mwanaume amechepuka bahati mbaya na yule mume ameshindwa kumsamehe licha ya kumexpose hadi kanisani, na kwa wazazi wa pande mbili kaaah dada bado yupo naye tu kisa watoto loooh na isitoshe dada kaacha kazi ya laki 5.5 kwa mwezi kisa hilo jamaa lake bandidu sasa yupo nyumbani kama mama wa nyumbani.

Nimekaa nimewaza baada ya kusoma huo uzi nikaona wanawake wa kiafrika bado elimu kubwa inahitajika ili waelewe haki zao za msingi huyu dada atakuwa ni msomi lakini hazijui haki zake. je ?wanawake wasio soma.

Tafadhalini wanawake jifunzeni kumove on na kuwa independent kwa maisha yenu ingekuwa ni mzungu amecheat yaani wanawake wakizungu wapo smart umemkamata kacheat yeye ana move on na hutomsikia tena akija kwako nashangaa dada zetu wanapoteza hadi kazi kisa mwanaume.

Dada kwani huyo kaka anakojoa dhahabu, hope dada zangu wakichagga hawafanyi hivi.

Wanawake acheni kuuza furaha zenu.
Hao dada zako wakichaga wanaojua kuua waume zao.
 
Haloo jukwaa la MMU....

Ngoja leo nitetee hawa malaika a.k.a maua a.k.a wanawake kuna swala fulani kwenye gender sijui niseme sisi wanaume hatufanyi sawa kwao.

Hivi inawezekana vipi mwanamke akosee umpeleke kanisani hadi umuitie wazazi kisa kachepuka na umemfuma red handed afu wewe mwanaume ukipiga nje yanaishia chumbani.

Niseme kwa wadada emu jifunzeni kumove on (Ladies learn how to move on).

Kuna dada humu amefungua uzi na yupo na mwanaume amechepuka bahati mbaya na yule mume ameshindwa kumsamehe licha ya kumexpose hadi kanisani, na kwa wazazi wa pande mbili kaaah dada bado yupo naye tu kisa watoto loooh na isitoshe dada kaacha kazi ya laki 5.5 kwa mwezi kisa hilo jamaa lake bandidu sasa yupo nyumbani kama mama wa nyumbani.

Nimekaa nimewaza baada ya kusoma huo uzi nikaona wanawake wa kiafrika bado elimu kubwa inahitajika ili waelewe haki zao za msingi huyu dada atakuwa ni msomi lakini hazijui haki zake. je ?wanawake wasio soma.

Tafadhalini wanawake jifunzeni kumove on na kuwa independent kwa maisha yenu ingekuwa ni mzungu amecheat yaani wanawake wakizungu wapo smart umemkamata kacheat yeye ana move on na hutomsikia tena akija kwako nashangaa dada zetu wanapoteza hadi kazi kisa mwanaume.

Dada kwani huyo kaka anakojoa dhahabu, hope dada zangu wakichagga hawafanyi hivi.

Wanawake acheni kuuza furaha zenu.
Wanawake msimsikilize huyu bwana...komaeni kwenye ndoa zenu hata kama ni Kwa shida...mkimove on huyu huyu atakuja na uzi wa single mothers...komaeni ndoa ngumu
 
Naelewa kuwa una wasiwasi kuhusu suala la jinsi wanawake wanavyoshughulika na uhusiano uliovunjika na mwenzi wao ambaye amefanya udanganyifu. Ni muhimu kutambua kwamba hali za kibinafsi zinatofautiana na kila mtu anashughulika na maumivu na hali ya uhusiano kwa njia tofauti. Kila mtu ana haki ya kuchagua jinsi ya kushughulikia hali yake.

Ni muhimu kujenga uelewa wa jumla na kuvunja vizuizi vya kitamaduni linapokuja suala la haki za wanawake na uwezo wao wa kujitegemea. Elimu ni muhimu sana katika kuwawezesha wanawake kuelewa haki zao na kufanya maamuzi sahihi katika maisha yao. Hata hivyo, ni muhimu kukumbuka kwamba elimu pekee haitoshi, na kuna mambo mengi yanayochangia maamuzi na matokeo ya mtu katika uhusiano.

Kuhusu suala la kuacha kazi kwa sababu ya mwanaume, ni uamuzi wa kibinafsi unaofanywa na mtu binafsi. Kuna sababu mbalimbali zinazoweza kusababisha mtu kufanya uamuzi huo, ikiwa ni pamoja na hali ya kihisia, kifedha, na kiutu. Ni muhimu kutambua kwamba kila mtu anao uhuru wa kufanya maamuzi yao ya maisha, na sio jukumu letu kuamua kile wanachopaswa kufanya.

Katika suala la kijamii, ni muhimu kwa jamii kuelimisha na kukuza usawa wa kijinsia, kutoa nafasi sawa kwa wanawake na wanaume, na kuheshimu haki za kila mtu. Hii inajumuisha kufundisha jinsi ya kujenga uhusiano wenye afya, jinsi ya kujiamini, na jinsi ya kushughulikia hali za kibinafsi kwa njia nzuri.

Ninaelewa kuwa una wasiwasi kuhusu suala hili, lakini ni muhimu kukumbuka kwamba kila mtu ana haki ya kufanya maamuzi kulingana na mazingira yao na uzoefu wao wa kibinafsi. Inaweza kuwa nzuri kutoa ushauri na kuonyesha mifano bora, lakini hatupaswi kuhukumu au kudharau uamuzi wa mtu mwingine.
Hii ni google translator?
 
Kiukweli hata mm siwez kuacha kazinet kisa nimefanya Kosa japo alichofanya sio sahihi alikosea Yani nisomeshwe na kijiji niache kazi kizembe kwaajili ya mtu tumekutana ukubwani hapana nimekataa
 
Udhalilishaji, wazungu wana move on tena fasta on spot....
We nawe. Wazungu ndiyo role models wako? Hawa hawa ambao karibia 75% ya ndoa zao zinaishia kwenye talaka kisa ufeminism? Ndiyo unataka dada zetu wawaige hawa? Ili jamii zetu ziwe kama zao mvurugano tu hakuna heshima huwezi jua yupi ni yupi kisa uhuru uliopindukia kimo?

Mambo haya kwa kawaida hufuata historia, mila na desturi za jamii husika na ni makosa kwenda kukopi na kupesti amali za jamii moja na kuzipeleka jamii nyingine bila kujali historia, mila na desturi za jamii hiyo unayoilazimisha kuipandikizia.

Mkondo wako huu wa mawazo ndiyo uliwafanya Wamarekani wakurupuke kwenda Iraq na Afghanistan eti wanapeleka demokrasia yao hii uchwara bila kujua hasa jamii hizo za Kiarabu zinaishije, historia yao ikoje na mila na desturi zao zina mkondo gani. Ni sawasawa na wewe uondoke na haya mawazo yako kengeufu na kwenda kuwahubiria wanawake wa nchi za Uarabuni. Ukirudi na kichwa chako kikiwa bado kimeungana na shingo yako shukuru Mungu!

Wazazi, familia, wazee pamoja na viongozi wa kiroho, ustawi wa jamii (na mahakama) wanayo nafasi ya muhimu sana katika kutatua migogoro ya kijamii hususan hii ya ndoa; na mingineyo. Sioni tatizo lo lote kwa migogoro ya aina hii kusuluhishwa huko na mara nyingi masuluhisho ya aina hii yamefanikiwa vizuri tu na maisha yakaendelea.

Kama unataka mabadiliko iruhusu jamii ibadilike pole pole; na mabadiliko hayo yatokane na jamii yenyewe na siyo haya ya kukurupuka na kuigaiga hovyo kisa eti wazungu wanafanya hivyo. Kuiga iga hovyo huku mwishowe kutakuletea na mambo mengine ambayo yataishia kusambaratisha kabisa taasisi ya ndoa na familia - taasisi ambazo ndiyo msingi imara wa uhai wa taifa lo lote hapa duniani.

Kesi unayoirejelea hapa ya huyo dada naamini ilikuwa ni chai; na hata kama haikuwa chai hayo ni maamuzi yake binafsi (mf. kuacha kazi) na mengineyo ni njia za kijamii katika kutafuta suluhisho la mzozo aliouleta katika familia yake na kumuumiza mwanaume ambaye mwenyewe anakiri kuwa alikuwa mtu mwema, rafiki wa kweli na baba bora kwa watoto wake.

Tusiige ige mambo hovyo bila kujali historia, tamaduni na mila zetu - hata kama yanatoka kwa wazungu ambao tunawaabudu na kuwaona kuwa wamekamilika!
 
Haloo jukwaa la MMU....

Ngoja leo nitetee hawa malaika a.k.a maua a.k.a wanawake kuna swala fulani kwenye gender sijui niseme sisi wanaume hatufanyi sawa kwao.

Hivi inawezekana vipi mwanamke akosee umpeleke kanisani hadi umuitie wazazi kisa kachepuka na umemfuma red handed afu wewe mwanaume ukipiga nje yanaishia chumbani.

Niseme kwa wadada emu jifunzeni kumove on (Ladies learn how to move on).

Kuna dada humu amefungua uzi na yupo na mwanaume amechepuka bahati mbaya na yule mume ameshindwa kumsamehe licha ya kumexpose hadi kanisani, na kwa wazazi wa pande mbili kaaah dada bado yupo naye tu kisa watoto loooh na isitoshe dada kaacha kazi ya laki 5.5 kwa mwezi kisa hilo jamaa lake bandidu sasa yupo nyumbani kama mama wa nyumbani.

Nimekaa nimewaza baada ya kusoma huo uzi nikaona wanawake wa kiafrika bado elimu kubwa inahitajika ili waelewe haki zao za msingi huyu dada atakuwa ni msomi lakini hazijui haki zake. je ?wanawake wasio soma.

Tafadhalini wanawake jifunzeni kumove on na kuwa independent kwa maisha yenu ingekuwa ni mzungu amecheat yaani wanawake wakizungu wapo smart umemkamata kacheat yeye ana move on na hutomsikia tena akija kwako nashangaa dada zetu wanapoteza hadi kazi kisa mwanaume.

Dada kwani huyo kaka anakojoa dhahabu, hope dada zangu wakichagga hawafanyi hivi.

Wanawake acheni kuuza furaha zenu.
Linapokuja swala la haki sawa, hapo ndo ushetani wenyewe unaanza na kufanya ndoa ziwe upuuzi flani, Fahari wawili hawakai zizi moja mkuu, acha mihemko na utafari kwa utulivu. Ikiwa ni haki sawa basi nawaunga mkono wazee wa kataa ndoa, hakuna haki sawa kwenye ndoa
 
Haloo jukwaa la MMU....

Ngoja leo nitetee hawa malaika a.k.a maua a.k.a wanawake kuna swala fulani kwenye gender sijui niseme sisi wanaume hatufanyi sawa kwao.

Hivi inawezekana vipi mwanamke akosee umpeleke kanisani hadi umuitie wazazi kisa kachepuka na umemfuma red handed afu wewe mwanaume ukipiga nje yanaishia chumbani.

Niseme kwa wadada emu jifunzeni kumove on (Ladies learn how to move on).

Kuna dada humu amefungua uzi na yupo na mwanaume amechepuka bahati mbaya na yule mume ameshindwa kumsamehe licha ya kumexpose hadi kanisani, na kwa wazazi wa pande mbili kaaah dada bado yupo naye tu kisa watoto loooh na isitoshe dada kaacha kazi ya laki 5.5 kwa mwezi kisa hilo jamaa lake bandidu sasa yupo nyumbani kama mama wa nyumbani.

Nimekaa nimewaza baada ya kusoma huo uzi nikaona wanawake wa kiafrika bado elimu kubwa inahitajika ili waelewe haki zao za msingi huyu dada atakuwa ni msomi lakini hazijui haki zake. je ?wanawake wasio soma.

Tafadhalini wanawake jifunzeni kumove on na kuwa independent kwa maisha yenu ingekuwa ni mzungu amecheat yaani wanawake wakizungu wapo smart umemkamata kacheat yeye ana move on na hutomsikia tena akija kwako nashangaa dada zetu wanapoteza hadi kazi kisa mwanaume.

Dada kwani huyo kaka anakojoa dhahabu, hope dada zangu wakichagga hawafanyi hivi.

Wanawake acheni kuuza furaha zenu.
mchepuko wa huyo dada alikua hana pasi ttz hahahahaha
 
Sasa mtu ameolewa amove on kivipi tena ikiwa hapigwi yan anakosa vitu ambavyo yeye mwenyewe alivisababisha .Kama n mkristo aendelee tu kumpambania mume wake japo kazingua kuacha kazi.
 
Back
Top Bottom