The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 6,446
- 10,976
- Thread starter
- #61
Shida huwa iko hapo, wanawake wengi hawajui kusema Am Mrs David.Ukiwa na mume unatakiwa ukitongozwa unasema nimeolewa kwa kumaanisha kiasi kwamba mtu harudii tena.
Sio unajifanya hutaki huku mtu anaona kabisa hapa nikikaza nakula mzigo🤣