Wanawake jifunzeni kumove on

Nakazia ujumbe mkuu
 
Love overpowers everything.Kuna muda pesa Ni kitu kidogo Sana mbele ya mapenzi uliyonayo kwa mwenzio.

Nadhani huyo mwanamke alikuwa sawa kuacha kazi ili kuinusuru ndoa Yake na kulinda heshima Yake.
 
Hii mbona kama chatGPT
 
Mmh
KwNza Kila nikiwaza mambo yanayoendelea kwenye hizo ndoa πŸ™Œ
Mikifikiria dada aliyeong'olewa meno na jicho, sina hata hamu jamani


Kiukweli Hali ni tete....
Leo hii ukipata mwanaume anayekupenda na akataka kukuoa utakataa kisa huyo dada aliyeng'olewa meno na jicho?

Ajali za magari mbona zinatokea kila siku na watu wanakufa lakini kila siku watu wako showroom kununua magari?

➑️➑️➑️ Usitumie sample ndogo kufanyia majumuisho ya jumla!
 
Kwamba bandidu lake hahaaha hii vita ni ngum sana mi nawashaurigi wanunue dildo hawataki si mnaona mwenzenu FaizaFoxy hakazw vzr anashinda kuleta udini hum bora aachane na mumewe tu akanunue dildo
 
Mmh
KwNza Kila nikiwaza mambo yanayoendelea kwenye hizo ndoa πŸ™Œ
Mikifikiria dada aliyeong'olewa meno na jicho, sina hata hamu jamani


Kiukweli Hali ni tete....
Tafuteni wanaume waelewa, shida ni kwamba wanaume waelewa tukiwapenda mnaona sisi washamba sijui hatuna jipya.
 
Wanawake msimsikilize huyu bwana...komaeni kwenye ndoa zenu hata kama ni Kwa shida...mkimove on huyu huyu atakuja na uzi wa single mothers...komaeni ndoa ngumu
Ndoa ngumu za kuvunjana taya na kuachishana kazi.
 
Kiukweli hata mm siwez kuacha kazinet kisa nimefanya Kosa japo alichofanya sio sahihi alikosea Yani nisomeshwe na kijiji niache kazi kizembe kwaajili ya mtu tumekutana ukubwani hapana nimekataa
Huo ni kutotambua haki yako.
 
Imagine ilikuwa ni chai, lakini haya maigizo yapo mkuu, ishu ya wanawake kutokujitambua ni wengi sana yaani kama ni tamaduni mbovu tuziache, tuwe na civilized culture ambayo imestaarabika siyo kuwa na tamaduni potofu yenye madhara....

Nani kama MAMA.
 
Sasa mtu ameolewa amove on kivipi tena ikiwa hapigwi yan anakosa vitu ambavyo yeye mwenyewe alivisababisha .Kama n mkristo aendelee tu kumpambania mume wake japo kazingua kuacha kazi.
Point ni kuwa anaendelea kuuza uhuru wake kwa huyo mwanaume.
Wewe unakubali kuishi na mume asiye kupenda wala hana upendo kama zamani kwanza unamkwaza wewe pia furaha yako iko wapi ni bora umove on.
 
Love overpowers everything.Kuna muda pesa Ni kitu kidogo Sana mbele ya mapenzi uliyonayo kwa mwenzio.

Nadhani huyo mwanamke alikuwa sawa kuacha kazi ili kuinusuru ndoa Yake na kulinda heshima Yake.
Licha ya kuacha kazi. Je anapendwa???
 
Kwamba bandidu lake hahaaha hii vita ni ngum sana mi nawashaurigi wanunue dildo hawataki si mnaona mwenzenu FaizaFoxy hakazw vzr anashinda kuleta udini hum bora aachane na mumewe tu akanunue dildo
Noma sana
 
Huyo asingeacha kazi wahuni wangemdanganya tena.
Eti week moja tu bila game ndo umsaliti mume wako!
Bullshit
 
Katongozwa sana eti.😁😁
Ukiwa na mume unatakiwa ukitongozwa unasema nimeolewa kwa kumaanisha kiasi kwamba mtu harudii tena.
Sio unajifanya hutaki huku mtu anaona kabisa hapa nikikaza nakula mzigo🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…