Wanawake jifunzeni kumove on

Ukiwa na mume unatakiwa ukitongozwa unasema nimeolewa kwa kumaanisha kiasi kwamba mtu harudii tena.
Sio unajifanya hutaki huku mtu anaona kabisa hapa nikikaza nakula mzigo🤣
Shida huwa iko hapo, wanawake wengi hawajui kusema Am Mrs David.
 
Sawa msukuma, nawaza tu jmn km tahadhari 😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…