Wanawake jiongezeni kwenye kuandaa futari ya Mwezi huu Mtukufu

Wanawake jiongezeni kwenye kuandaa futari ya Mwezi huu Mtukufu

Covax

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2021
Posts
10,198
Reaction score
35,323
Wake wa mikoani ni wazuri kitabia ila ni chagamoto katika mapishi kwenye mwezi kama hu wa Ramadhani.

Workmates wangu wamefunguka jana kwamba wake zao hawajui kuanda futari ya kufuturu mwezi hu mtukufu, alie anzisha mjadala alisema ana acha hela ya kutosha nyumbani ila mke wake hajui kuanda futari, na ajiongezi,

Siku ya kwanza alimpikia ugali na nyama jana kapika ugali maharage na samaki, bila uji au chakula laini chochote wakati anajua kwamba ana funga, hataki kujiongeza, wake wengine ni mzigo.

Wake wa kutoka mikoani ni wazuri ila katika mapishi ni chagamoto kubwa, ata siku zingine sio katika mwezi hu tu, mgine mwenye mke wa kutoka Iringa anasema alisha mwambia mkewe ila habadiliki sasa hivi ana futuria kwenye magenge ya wa swahili kuna futari nzuri kwa bei ya sh 2000 tu.

Wanawake wa pwani wana mapungufu yao katika ndoa lakini katika hili kila moja anajitahidi kuvitia mme.
 
Wake wa mikoani ni wazuri kitabia ila ni chagamoto katika mapishi kwenye mwezi kama hu wa Ramadhani.

Workmates wangu wamefunguka jana kwamba wake zao hawajui kuanda futari ya kufuturu mwezi hu mtukufu, alie anzisha mjadala alisema ana acha hela ya kutosha nyumbani ila mke wake hajui kuanda futari, na ajiongezi, siku ya kwanza alimpikia ugali na nyama jana kapika ugali maharage na samaki, bila uji au chakula laini chochote wakati anajua kwamba ana funga, hataki kujiongeza, wake wengine ni mzigo.

Wake wa kutoka mikoani ni wazuri ila katika mapishi ni chagamoto kubwa, ata siku zingine sio katika mwezi hu tu, mgine mwenye mke wa kutoka Iringa anasema alisha mwambia mkewe ila habadiliki sasa hivi ana futuria kwenye magenge ya wa swahili kuna futari nzuri kwa bei ya sh 2000 tu. Wanawake wa pwani wana mapungufu yao katika ndoa lakini katika hili kila moja anajitahidi kuvitia mme.
Huyo wa mkoani asiyejua kupika labda wa Moshi, Dar, Mbeya Iringa na Kilimanjaro
 
Huyo wa mkos asiyejua kupika labda wa Moshi,Dar,Mbeya Iringa naKilimanjaro
Ondoa Dar...hiyo ni Pwani,labda awe wakuja. Kuna changamoto ya mapishi. Wanawake wengi wa mikoani wanachemsha sio kupika.
 
Ni wako tu huyo👌👌, tumezaliwa mikoani, tukakulia mikoani na tunazeekea mikoani ila twajua kupika mpk unajilamba,

Japo kuna wanawake wasio na mkono wa kufanya ladha nzuri ya chakula, nimeshakutana nao sana tu,, hata aunge vipi chakula ni km maji
 
Wake wa mikoani ni wazuri kitabia ila ni chagamoto katika mapishi kwenye mwezi kama hu wa Ramadhani.

Workmates wangu wamefunguka jana kwamba wake zao hawajui kuanda futari ya kufuturu mwezi hu mtukufu, alie anzisha mjadala alisema ana acha hela ya kutosha nyumbani ila mke wake hajui kuanda futari, na ajiongezi, siku ya kwanza alimpikia ugali na nyama jana kapika ugali maharage na samaki, bila uji au chakula laini chochote wakati anajua kwamba ana funga, hataki kujiongeza, wake wengine ni mzigo.

Wake wa kutoka mikoani ni wazuri ila katika mapishi ni chagamoto kubwa, ata siku zingine sio katika mwezi hu tu, mgine mwenye mke wa kutoka Iringa anasema alisha mwambia mkewe ila habadiliki sasa hivi ana futuria kwenye magenge ya wa swahili kuna futari nzuri kwa bei ya sh 2000 tu. Wanawake wa pwani wana mapungufu yao katika ndoa lakini katika hili kila moja anajitahidi kuvitia mme.
Kwani si mnabadiri tu ratiba ya kula? Cha msingi anza kula tende kabla ya msosi mnaouita futari.
 
Ni wako tu huyo👌👌, tumezaliwa mikoani, tukakulia mikoani na tunazeekea mikoani ila twajua kupika mpk unajilamba,

Japo kuna wanawake wasio na mkono wa kufanya ladha nzuri ya chakula, nimeshakutana nao sana tu,, hata aunge vipi chakula ni km maji
Wapo siriaz.

Kuna siri tu kwenye mkono..na sio viungo.

Yaani hii
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂inafurahisha sana
 
Hizi story za uongo dunia ya leo nani asiyefahamu mahitaji muhimu katika futari. Kwamba hajui kua tambi, chai , maandazi , mihogo hutumika kwenye kuandaa futari.
Na kama anasema ni kweli basi atuambie kuwa mikoani watu huwa wanafuturu ugali, maana hao wanawake watakuwa wamejifunzia katika familia zao.
 
Focus iwepo kwenye ibada na maana ya huu Mwezi Mtukufu.

Na hii ni kwa wanawake na wanaume. Kuna wanaume Mwezi huu wanawatumikisha sana wake zao.

Kutwa wanawapikilisha vyakula tofauti tofauti hawapumziki wala kupata wasaa wa kufanya ibada zao.

Focus haipo kwenye menu Mkuu.
 
Focus iwepo kwenye ibada na maana ya huu Mwezi Mtukufu.

Na hii ni kwa wanawake na wanaume. Kuna wanaume Mwezi huu wanawatumikisha sana wake zao. Kutwa wanawapikilisha vyakula tofauti tofauti hawapumziki wala kupata wasaa wa kufanya ibada zao.

Focus haipo kwenye menu Mkuu.
Bila kukashifu imani ya mtu wafungaji wengi ni kama vile wanabadili tu ratiba ya kura tu basi.

Kuna jamaa yangu mimi miaka yote anafunga na hakuna siku anaamka saa kumi alfajili kwa ajili ya kula hichi kinachoitwa daku.

Yeye akishafuturu jioni, usiku by saa 4 au saa 5 anakula mpunga wake akiingia kulala shughuri imekwisha mpaka kesho muda wa kufuturu.
 
Back
Top Bottom