Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,155
- 34,303
Na hapo shida iko wapi?Bila kukashifu imani ya mtu wafungaji wengi ni kama vile wanabadili tu ratiba ya kura tu basi.
Kuna jamaa yangu mimi miaka yote anafunga na hakuna siku anaamka saa kumi alfajili kwa ajili ya kula hichi kinachoitwa daku.
Yeye akishafuturu jioni, usiku by saa 4 au saa 5 anakula mpunga wake akiingia kulala shughuri imekwisha mpaka kesho muda wa kufuturu.
Daku sio lazima upige msosi wa nguvu hata maji tu yakunywa yanatosha au tende. Binafsi sinaga kawaida ya kula daku. Ila maji nakunywa na nafunga fresh tu.
Focus haipo kwenye misosi, bali ipo kwenye ibada na kuzidisha matendo mema.