Wanawake jiongezeni kwenye kuandaa futari ya Mwezi huu Mtukufu

Wanawake jiongezeni kwenye kuandaa futari ya Mwezi huu Mtukufu

Huyo wa mkos asiyejua kupika labda wa Moshi,Dar,Mbeya Iringa naKilimanjaro

Ukitoa Dar,Pwani,Tanga na Zanzibar hiyo mingine yote wanapika vyakula vibovu tu.
 
Ili swaumu isikukamate sana piga daku mara 2.
Mimi nakula saa 7 usiku alafu na saa 9 usiku naamka nakula tena.
Mchana ukifika natamba tu
 
Bila kukashifu imani ya mtu wafungaji wengi ni kama vile wanabadili tu ratiba ya kura tu basi.

Kuna jamaa yangu mimi miaka yote anafunga na hakuna siku anaamka saa kumi alfajili kwa ajili ya kula hichi kinachoitwa daku.

Yeye akishafuturu jioni, usiku by saa 4 au saa 5 anakula mpunga wake akiingia kulala shughuri imekwisha mpaka kesho muda wa kufuturu.
Mkuu mwezi huu mtukufu haulengi katika ratiba ya kula tu, kina mambo mengi hufanyika katika ibaada, hata kama unafinga ila unashindwa kuyatekeleza inakua hujafanya lolote.
 
Hizi story za uongo dunia ya leo nani asiyefahamu mahitaji muhimu katika futari. Kwamba hajui kua tambi, chai , maandazi , mihogo hutumika kwenye kuandaa futari.
Wewe hayaja kukuta omba Mungu usipata kituko cha mwana mke asie jua kuanda chakula, usiwaone tu wamependeza ila hao wamikoani wengi ni mtihani mkubwa sana.
 
Wanashindwa kuwaelekeza?

Sawa wa mikoani hatujui kupika[emoji1476]
 
Focus iwepo kwenye ibada na maana ya huu Mwezi Mtukufu.

Na hii ni kwa wanawake na wanaume. Kuna wanaume Mwezi huu wanawatumikisha sana wake zao. Kutwa wanawapikilisha vyakula tofauti tofauti hawapumziki wala kupata wasaa wa kufanya ibada zao.

Focus haipo kwenye menu Mkuu.
Ni kweli,utakuta mtu anaanza kupika tokea saa 5 hadi saa 12 jioni yupo jikoni
 
Ni kweli,utakuta mtu anaanza kupika tokea saa 5 hadi saa 12 jioni yupo jikoni
Kwani wewe wataka mkeo afanye kazi gani zaid na hiyo ya kupikia mmewe, ungejua kwamba wanawake wa kiislamu wana furahia na kujisikia kifahari kwa kupikia mmewe vyakula mbali mbali vipya.
 
Bila kukashifu imani ya mtu wafungaji wengi ni kama vile wanabadili tu ratiba ya kura tu basi.

Kuna jamaa yangu mimi miaka yote anafunga na hakuna siku anaamka saa kumi alfajili kwa ajili ya kula hichi kinachoitwa daku.

Yeye akishafuturu jioni, usiku by saa 4 au saa 5 anakula mpunga wake akiingia kulala shughuri imekwisha mpaka kesho muda wa kufuturu.
Hata kitabu cha Mtaguso kinaelezea kufunga ni masaa 18 ya siku bila chakula. Katika masaa 24 unaruhusiwa kula ndani ya masaa sita.

Funga unaanza sita usiku mpaka 12 jioni.
 
Sometime tunawaonea wanawqke bana. Tuwe wakweli, hakuna binadam aliekamilika. Huyo maybe hajui kupika lakn mengine anafanya vizuri tu. Instead ya kulalamika humu, kwanini usimuelekeze kwa vitendo taratibu? Kama ukifanya kwa upendo lazma ataelewa.

Pia tamaduni zinatofautiana, we umekulia pwani huko kwenye kula urojo unakuja kuoa huku kanda ya ziwa ambako ugali ni kama juis unategemea nini?

Mimi ni mfano hai, babymama tulipokutana alikua anashangaa asubuhi nkitaka kusafiri nakula dongo (ugali) kwanza ndo nasepa, lakn nkamwelekeza, siku hizi ananipikia yeye mwenyewe na atapiga tonge 3 za upendo.

Hata ugali aliokua ananipikia mwanzon ni uo wa daslamu ambao ni kama uji wa mtoto. Lakini nkamfundisha dongo la kwetu ambalo ukimeza hata minyoo wanakwepa kwanza lisiwadondokee maana linaeza waua. Sasa hv napata kitu nataka.

So mkuu, wewe kwakua unajua unachotaka mfundishe hizo tambi na mihogo!
 
Kwani wewe wataka mkeo afanye kazi gani zaid na hiyo ya kupikia mmewe, ungejua kwamba wanawake wa kiislamu wana furahia na kujisikia kifahari kwa kupikia mmewe vyakula mbali mbali vipya.
Yaani nawe khaaa!

Kutwa kuunguungua na moto!!!

Halafu mie siyo mkaka,,,
 
Wewe hayaja kukuta omba Mungu usipata kituko cha mwana mke asie jua kuanda chakula, usiwaone tu wamependeza ila hao wamikoani wengi ni mtihani mkubwa sana.

Kuandaa sio kila mtu anajua kuandaa . Ila swala la kushindwa kujua mtu aliyefunga anaitaji chakula gani ni uwongo
 
Mattizo binafsi mnayamaliza binafsi sasa JF ndo imekuolea uyo mke au mattzo ya wake zenu ndo myalete humu kua bro acha ushamba iv ni vtu private

Au nia yako ww ni kutukana wanawake wa mikoan wakat ww mwenyewe umezaliwa mkoan umekimbilia dar kutafta maisha na maisha yenyewe ujayapata
 
Mattizo binafsi mnayamaliza binafsi sasa JF ndo imekuolea uyo mke au mattzo ya wake zenu ndo myalete humu kua bro acha ushamba iv ni vtu private

Au nia yako ww ni kutukana wanawake wa mikoan wakat ww mwenyewe umezaliwa mkoan umekimbilia dar kutafta maisha na maisha yenyewe ujayapata
Mkuu mbona jaziba tena, kwani mkoani ni pabaya, kuna mambo mengine mazuri yana patikana kwa wake wa mikoani tu, kwahiyo siwezi kupabeza kabisa
 
Back
Top Bottom